We jamaa vipi? Shule binafsi zinafanya shughuli zake kisheria kabisa kama wanavyofanya wafanyabiashara wengine katika kada nyingine yoyote. Lengo lao siku zote ni kutengeneza faida. Ili kupata wateja wengi(wanafunzi) lazima wapate maokeo mazuri.Unafahamu vizuri kabisa hakuna anayekulazimisha...
Ifike muda uache upuuzi wa vyama. Huu ni muda tunajanga nchi kama watanzania. Usitske watu wakutukane afu uwaone hawana busara.
LEARN HOW TO BEHAVE AS A CITIZEN AND NOT AS POLITICAL PARTY MEMBER!
kama una evidence inabidi wakamatishwe za moto hao.
watu wamekomaa wakapiga shule afu kazi wanapewa maboya tu ambao hata kaz hawajui kabisa. Swine kabisa
Wakuu naomba kufahamishwa kuhusu utaratibu wa kuomba nafasi ya masomo ya ualimu ngazi ya cheti kwa mwaka huu 2014. Na pia naomba kujulishwa kuhusu utaratibu wa kutuma maombi pamoja na tarehe ya mwisho ya kuomba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.