Recent content by kidaru

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mbunge Hawa Mchafu kuwainua vijana kiuchumi, UWT-Pwani

    Yupo Vizuri.
  2. K

    JamiiForums Tanzania FT: Uwanja wa Mkapa: Yanga 0-2 Vipers, Mwananchi Day (Agosti 6, 2022)

    Hizi mechi za mabonanza huwaga hatuongi marefa wala haturogi, ngoja ligi ianze, show show
  3. K

    JamiiForums Tanzania Air Manula anaweza kudaka timu yeyote EPL

    Kwa hiyo Tanzania hakuna chenye ubora. Tujifunze kupenda vya kwetu bhasi.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Chris Mugalu simuelewi

    Mugalu ni forward ambaye anahitaji atafuniwe yeye amaze tu. Ubora wake unaonekana kama ana viungo wazuri na mawinga wa kumlisha. Akipoteza mpira hakabi, hana kasi kabisa. Mechi zenye presha hatambi kabisa, ligi ya Mabingwa iliyopita kumbukumbu zangu zinaniambia kwamba alifunga mechi dhidi ya As...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mpira inavyoanza kuigharimu Simba

    Tatizo sio kufungwa, hakuna timu duniani isiyofungwa. Ila tunachoangalia ubora wa wachezaji wa Simba kwa sasa, ukilinganisha na vilabu vingine, unaona kabisa kwa Msimu huu, kuna kazi kubwa ya Kufanya.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mpira inavyoanza kuigharimu Simba

    Kuuza wachezaji hakukataliwi , Ila uza chuma nunua chuma. Kama ni biashara ya 2b basi nunua wa 1.5 B sio unanunua wachezaji wa thamani za milioni 60 na 70 ukategemea utatoboa, hiyo ni ngumu sana. Ukitaka Makombe wekeza kwenye wachezaji wenye ubora. Sio wavulana wadogo.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mpira inavyoanza kuigharimu Simba

    Timu ya Simba ilitamba kwenye soka la bongo kwa takribani Miaka minne mfululizo, ikijengwa na wachezaji wenye uwezo Mkubwa na wenye historia ya soka la Afrika. Baada ya Mo, kuanza kuisaidia Simba msimu wa 2017 - 2018. Simba ilifanya usajili mkubwa wa kuchukua wachezaji wa Azam na baadhi ya...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Sajili ya Simba ni Mfumo wa Biashara au njaa ya mafanikio

    Shida sio kuwauza chama na Luiz, umewareplace na wachezaji gani ??!. Unasajili Average player ambao hata wewe umewajua baada ya Kutua Simba, hawana takwimu za kuridhisha kwenye Ligi ya Mabingwa Africa, unawanadi kwa kigezo cha youtube na kufanya vizuri kwenye Ligi zao za ndani. Kazi tunayo mwaka...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Sajili ya Simba ni Mfumo wa Biashara au njaa ya mafanikio

    Nimekuwa nikifuatilia usajili wa wachezaji Simba toka Mwekezaji Mo aanze kuifadhili Simba kabla hajaingiza 20b. Kwa miaka minne iliyopita usajili wa Simba ulijipambanua kama timu hasa inayohitaji Mafanikio ya Haraka kwa kusajili wachezaji wenye majina na uwezo mkubwa uwanjani. Kwa kipindi...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Hii kasi ya Yanga uwanjani ni kama Liverpool

    h55nnnnhhhhnHnnnhn H Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    JamiiForums Tanzania Huenda Liverpool ikakosa kutwaa ubingwa wa EPL msimu huu kwa Mafuriko yanayoendelea huko Uingereza

    m5mm5M 5 Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mkulima adaiwa kuuawa mbele ya Mkuu wa Wilaya , migogoro ya Wakulima na Wafugaji Kata ya Magindu, Wilaya ya Kibaha

    Tukio la kusikitisha la mauaji ya Mkulima limetokea Kijiji cha Lukenge Kata ya Magindu tarehe 27/03/2019 , mbele ya Mkuu wa wilaya ya Kibaha ndugu Asumpta Mshana , wakati alipoenda kujaribu kusuluhisha mgogoro wa Wakulima na Wafugaji kwenye kijiji hicho . Chanzo cha tukio hilo ni Jamii ya...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Hawa wote ni marehemu

    Nawaona weng sharo milionea kanumba San UK Adam kuambiana b kidude na wengine Wendi innallilwah wa innalilwah rajuun
  14. K

    JamiiForums Tanzania Ngoma mpya ya Ali Kiba ''Mvumo wa Radi''; Maoni na ushauri

    Hii nyimbo ina majina ya nchi kibao kama aliingia studio na Atlas pamoja na ramani. King kiba umezinguaaaaa
  15. K

    JamiiForums Tanzania Harusi ya Mwanamuziki Ali Kiba kurushwa live na Azam Tv pekee

    Watu wangu wanateketea kwa kukosa maarifa
Back
Top Bottom