Sajili ya Simba ni Mfumo wa Biashara au njaa ya mafanikio

kidaru

Member
Mar 30, 2017
22
51
Nimekuwa nikifuatilia usajili wa wachezaji Simba toka Mwekezaji Mo aanze kuifadhili Simba kabla hajaingiza 20b.

Kwa miaka minne iliyopita usajili wa Simba ulijipambanua kama timu hasa inayohitaji Mafanikio ya Haraka kwa kusajili wachezaji wenye majina na uwezo mkubwa uwanjani.

Kwa kipindi kifupi Simba cha uwepo wa Bilionea, Simba imefanikiwa kutwaa Makombe ya Ligi kuu na shirikisho, sambamba na kushinda ngao za hisani na kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa.

Mwekezaji Mo, sasa ni dhahiri ameshakabidhiwa timu na jicho la mbali linamuona kama mtu ambaye ameshajipa uhakika wa kuendelea kuwekeza na ameamua hasa kufanya biashara ya Mpira kwa sababu zifuatazo.

Sababu ya Kwanza, timu imeuza key players wawili ambao walisaidia timu kwenye Mafanikio waliyonayo sasa.

Imeendelea kumaintain wachezaji waliosajiliwa kwa kipindi kirefu kilichopita kwa kuamini wamezoeana jambo ambalo sio sahihi kwa sababu kuna Kipindi watazoewa na timu pinzani na hatimaye kuanza kuambulia vipigo , mfano Barcelona ya Xavi na Iniesta .

Imesajili vijana wadogo ambao Malengo ni kuzidi kuwakuza na kufanya Biashara, hayo ndiyo malengo hasa ya Mwekezaji ila akumbuke kamari hiyo pia ilichezwa na TP Mazembe ambao sasa sio tishio tena Africa.

Naliona anguko la Simba kwa karibu sana. Sababu kubwa inaonekana sasa wamesharidhika na Mafanikio na natabiri Yanga na Azam kuibuka kama timu ambazo zitatawala Msimu huu wa ligi wa 2021/2022. Kutokana na ukweli mchungu kwamba usajili wa Simba sio mzuri kulinganisha na Timu ya Yanga na Azam, najua nitapingwa lakini huo ndio ukweli na utajidhihirisha kwenye Ligi.

Yetu Macho na tuombeane uzima tu, ila huo ndio ukweli.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Shida sio kuwauza chama na Luiz, umewareplace na wachezaji gani ??!. Unasajili Average player ambao hata wewe umewajua baada ya Kutua Simba, hawana takwimu za kuridhisha kwenye Ligi ya Mabingwa Africa, unawanadi kwa kigezo cha youtube na kufanya vizuri kwenye Ligi zao za ndani. Kazi tunayo mwaka huu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Shida sio kuwauza chama na Luiz, umewareplace na wachezaji gani ??!. Unasajili Average player ambao hata wewe umewajua baada ya Kutua Simba, hawana takwimu za kuridhisha kwenye Ligi ya Mabingwa Africa, unawanadi kwa kigezo cha youtube na kufanya vizuri kwenye Ligi zao za ndani. Kazi tunayo mwaka huu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app



kwan miq au chama walikuwa na takwimu gani CAF champion.. miq kashatolewa mkopo zaid ya mara mbili na team zake za huko nyuma.. miq kajulikana alipokuja na UD songo kucheza na simba.. tena mechi moja tu watu wakamuona.. ingia yotube tafuta video za miw kabla ya simba utaona z aud songo na simba so na yeye hakuwa na maajabu ila alipokuja simba kipaj kimepanda

chama ndo kabisa hakuna aliekuwa anamjua na alipokuja msimu wa kwanza alichemsha..

tuwape mda hawa waliosajiliwa tuwahukumu baada ya msimu kuisha.. ni mapema sana sa hv

hao wa yanga na azam unaowasema
kumbuka kina Sarpong wamekuja wakiwa top scoers huko walikotoka.. kina balinya so kusajili majina sio kigezo cha kufanya vizur..

wachezaj wote wa hiz team zote wahukumiwe msimu ukiisha
 
Shida sio kuwauza chama na Luiz, umewareplace na wachezaji gani ??!. Unasajili Average player ambao hata wewe umewajua baada ya Kutua Simba, hawana takwimu za kuridhisha kwenye Ligi ya Mabingwa Africa, unawanadi kwa kigezo cha youtube na kufanya vizuri kwenye Ligi zao za ndani. Kazi tunayo mwaka huu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kabla ya kusajiliwa Simba wewe ulikua unawajua Chama na Luiz?
 
Shida sio kuwauza chama na Luiz, umewareplace na wachezaji gani ??!. Unasajili Average player ambao hata wewe umewajua baada ya Kutua Simba, hawana takwimu za kuridhisha kwenye Ligi ya Mabingwa Africa, unawanadi kwa kigezo cha youtube na kufanya vizuri kwenye Ligi zao za ndani. Kazi tunayo mwaka huu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Sasa club itakaa na mchezaji kwa mda gani bila kumwuza?hivi hujui unaweza kugoma kumwuza halafu asicheze kwa moyo
 
Kinachotokea Pale hata mimi huwa najiuliza sana.

Wanajenga timu? au wanaimarisha timu?

Kitendo cha kuondoka kwa wachezaji wawili tu halafu ukasajili wachezaji wapya nane (8) kuna ashiria kuwa hawana uhakika kama wataweza kuziba pengo za walioondoka. Na kinachofanyika ni mchezo wa bahati na sibu.
 
Kwamba kuondoka kwa wachezaji wawili ndiyo kutaiathiri Simba SC Kama unavyodhani?

Hao Chama na Luís Miquissone uliwafahamu kabla ya kuja Simba?

Bwallya uliwahi kumsikia akitajwa wapi kabla ya kuja Simba?

Wembe Ni ule ule tutawanyoosha miaka yote, hao watu wa AS Vita walioletwa jangwani mnadhani ndiyo wataipeleka utopolo fainali ya CAF CL? Kwanini walishindwa wakiwa kwao?


Nb. Simba is the university of Tanzanian football...., Benard Morrison

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Kinachotokea Pale hata mimi huwa najiuliza sana.

Wanajenga timu? au wanaimarisha timu?

Kitendo cha kuondoka kwa wachezaji wawili tu halafu ukasajili wachezaji wapya nane (8) kuna ashiria kuwa hawana uhakika kama wataweza kuziba pengo za walioondoka. Na kinachofanyika ni mchezo wa bahati na sibu.
Kwani Kuna ubaya? Usajili ni bahati nasibu Ni sawa na sarpong alivyobebwa kwenye kiti chake lakini kaondoka hajafikisha hata magoli sita.

Iacheni Simba SC ijiweke fiti mtaona baadae!

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Shida sio kuwauza chama na Luiz, umewareplace na wachezaji gani ??!. Unasajili Average player ambao hata wewe umewajua baada ya Kutua Simba, hawana takwimu za kuridhisha kwenye Ligi ya Mabingwa Africa, unawanadi kwa kigezo cha youtube na kufanya vizuri kwenye Ligi zao za ndani. Kazi tunayo mwaka huu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Tuko nje ya kamati ya ufundi ya simba. Tutaongea sana lakinj majibu sahihi ni pale msimu uutakapoanza na kwisha. Maana kuanza pekee si jibu sahihi.
 
Shida sio kuwauza chama na Luiz, umewareplace na wachezaji gani ??!. Unasajili Average player ambao hata wewe umewajua baada ya Kutua Simba, hawana takwimu za kuridhisha kwenye Ligi ya Mabingwa Africa, ...
mkuu hebu kuwa serious kidogo basi na ujibu hoja za wanajukwaa. Swali ni hili, katika miaka ya hivi karibuni ya mafanikio hayo ya Simba, walau nyota waliong'ara na kuwa wafalme kiasi fulani Simba ni Okwi, Chama na Miquissone. Unaulizwa hivi, hao walipokuwa wanakuja Simba kwa mara ya kwanza, walikuwa na takwimu gani unazozisema kwenye ligi ya mabingwa wa Afrika? Hoja ndio hiyo, jibu basi!
 
Nimekuwa nikifuatilia usajili wa wachezaji Simba toka Mwekezaji Mo aanze kuifadhili Simba kabla hajaingiza 20b.

Kwa miaka minne iliyopita usajili wa Simba ulijipambanua kama timu hasa inayohitaji Mafanikio ya Haraka kwa kusajili wachezaji wenye majina na uwezo mkubwa uwanjani.

Kwa kipindi kifupi Simba cha uwepo wa Bilionea, Simba imefanikiwa kutwaa Makombe ya Ligi kuu na shirikisho, sambamba na kushinda ngao za hisani na kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa.

Mwekezaji Mo, sasa ni dhahiri ameshakabidhiwa timu na jicho la mbali linamuona kama mtu ambaye ameshajipa uhakika wa kuendelea kuwekeza na ameamua hasa kufanya biashara ya Mpira kwa sababu zifuatazo.

Sababu ya Kwanza, timu imeuza key players wawili ambao walisaidia timu kwenye Mafanikio waliyonayo sasa.

Imeendelea kumaintain wachezaji waliosajiliwa kwa kipindi kirefu kilichopita kwa kuamini wamezoeana jambo ambalo sio sahihi kwa sababu kuna Kipindi watazoewa na timu pinzani na hatimaye kuanza kuambulia vipigo , mfano Barcelona ya Xavi na Iniesta .

Imesajili vijana wadogo ambao Malengo ni kuzidi kuwakuza na kufanya Biashara, hayo ndiyo malengo hasa ya Mwekezaji ila akumbuke kamari hiyo pia ilichezwa na TP Mazembe ambao sasa sio tishio tena Africa.

Naliona anguko la Simba kwa karibu sana. Sababu kubwa inaonekana sasa wamesharidhika na Mafanikio na natabiri Yanga na Azam kuibuka kama timu ambazo zitatawala Msimu huu wa ligi wa 2021/2022. Kutokana na ukweli mchungu kwamba usajili wa Simba sio mzuri kulinganisha na Timu ya Yanga na Azam, najua nitapingwa lakini huo ndio ukweli na utajidhihirisha kwenye Ligi.

Yetu Macho na tuombeane uzima tu, ila huo ndio ukweli.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Unauliza lakini ukiwa tayari ni mpinzani!!...mpira ni biashara ulitaka simba wasiuze wachezaji?!!.. ulitaka wasisajili wachezaji wadogo!!.. mbona kila kitu kiko wazi sana!!..Simba wamewekeza na faida siyo kushinda vikombe tu Bali kuuza wachezaji na kupata kinda wengine kwaajili ya biashara pia!!!...Nakukumbusha baada ya msimu ujao tutauza zaidi na hii mtalia siyo kupiga kelele tu!!..
 
Kinachotokea Pale hata mimi huwa najiuliza sana.

Wanajenga timu? au wanaimarisha timu?

Kitendo cha kuondoka kwa wachezaji wawili tu halafu ukasajili wachezaji wapya nane (8) kuna ashiria kuwa hawana uhakika kama wataweza kuziba pengo za walioondoka. Na kinachofanyika ni mchezo wa bahati na sibu.
Wachezaji ni stock rafiki ( Simba ni lidude likubwa) tunaweza kucheza mashindano yote (mapinduzi,Kagame,fa,ligi kuu)... Unajua maana ya kikosi kipana!!.
 
Shida sio kuwauza chama na Luiz, umewareplace na wachezaji gani ??!. Unasajili Average player ambao hata wewe umewajua baada ya Kutua Simba, hawana takwimu za kuridhisha kwenye Ligi ya Mabingwa Africa, unawanadi kwa kigezo cha youtube na kufanya vizuri kwenye Ligi zao za ndani. Kazi tunayo mwaka huu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kwani huyo chama na miquison wakati wanasajiliwa nani alikuwa anawajua,,, we tulia tu tena hawa waliosajiliwa sasa huko waliokotoka ndio walikuwa key players kama ulikuwa hujui
 
Back
Top Bottom