Mama Samia Si mtoto mdgo na hajaanza kuhojiwa Jana au juzi Yule kaongea kitu ambacho kwake kipo sahihi japo Si sahihi kwa watanzania wengine ko Si swala la kumkingia kifua tayal amwonesha makucha, na ule ndo msmamo wake tayal kaonesha, tuendelee kua wavumilivu mengi yatatokea......,
Nazani wengi watajibu kishabiki Bila kufata uhalisia wa mchezaji timu na aina yake.... Kuna Mambo kadhaa yanamfanya mchezaji kuonekana Ni Bora kuliko mwenzio....
1: Number
Hapa tunazungumzia Namba za Hao wachezaji ambazo wanazitumikia katika timu zao tukiwatazama Mayele na kagere wote wanacheza...
Dictatorship government is better than democratic government take references kwa nchi zote zilizowah kuwa na maraisi wenye misimamo Yao binafsi Bila kubabaishwa na wengine jinsi zilivyoendeleaa,,, Tanzania tunahitaji kina magufuli misimu Kumi mfululizo ili tupige hatuaa
Bro Pole sana kwa Hilo ila Kuna Jambo moja umeshindwa kulitekeleza , tusikatae uhalisia wa nchi yetu siku zote mkono mtupu haulambwi ko jitathmin tafta kitu nenda Baraza kabsa then ongea na mmja wa watendaji wa Baraza pale inawezekana chuo kinatuma barua ndio sema siku zote pesa kwanza
Nchi yeti bado imetawaliwa na sera za ubinafsi na kuoneana tu why kila siku wamachinga, why kila siku masoko ya wafanya biashara wadogo wadogo, any way Kuna siku Mambo yatabadilika..........[emoji1241][emoji1241]
Itategemeanaa na aina gan ya ufugaji unahitaji kufanya na aina gan ya ngurue au kuku unahitaji kufuga maana wote wanatofautiana, pia Ni unamtaji wa kiasi gan kufanya ufugaj huo, ngurue zipo very simple kwenye suala la ufugaji kwa mtazamo japo ukiingia katika industry hiyo ndo utaona Ni gharama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.