Recent content by Kida Abdi

  1. K

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu apokelewa kama Malkia nchini Rwanda, aeleza kilichompeleka

    Mawivu ya nini, support mwenzenu ktk, "" ukitaka kuujua uchi wa mwenzio anza na wako """ emagin ww ndo unaongelewa ungejisikiaje. Mawazo ( +) jaribu kuwa nayo kwa kila mtu
  2. K

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya wazee wa mkoni Singida, wamesema Nyalandu apuuzwe

    Hata kwa khanga haya maneno yanaweza kuandikwa maana watanzania/ wabongo wanayo siku zote na wanaweza kutunga papokwapapo. Kama haya mlikua nayo na mkayakalia tuu mlikuwa mnasubiri nn?? Maneno yako ni mfano wa kwenye ndoa au mahusiano, mkiwa ndani ya ndoa ni kimya ila siku mmea achana ndo...
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wenzangu, mnawezaje kukabiliana siku ya 1 ukikutana na mwanaume mwenye maumbile makubwa?

    Bado hujapata au unataka ujaribu tena big pistol?
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wenzangu, mnawezaje kukabiliana siku ya 1 ukikutana na mwanaume mwenye maumbile makubwa?

    Bado hujapata au unataka ushauri ujaribu tena big pistol?
  5. K

    JamiiForums Tanzania Watanzania, hatumjui Paul Makonda?!

    Mange kimambi na bdo unamhesabia mtanzania?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Tunataka viongozi makini kama Makonda, hatutaki vyeti sisi

    Kama wote wangekuwa na akili hii pia mhe: Pombe awarudishe wale wote aliowaita wafanyakazi hewa, majipu pia akiri kosa kuwapa watumishi majinaxya ajabu maana vyeti siyo kitu cha kuangalia/ ku.base/ matter Bali uchapakazi wa MTU ndo kitu cha msingi ktk kazi bila kujali kapitia njia ipi ktk...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Gwajima: Kutakuwa na Ugeni wa mzee kutoka kijiji cha KOROMIJE

    Samehe saba Mara sabini lakini ukificha uchafu matokeo ni nini? Ukificha uovu na wewe ni mwovu! Ili yasiendelee kutokea wajifunze wengine basi hakuna budi kumwaga wazi.
  8. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA na UKAWA wataanguka vibaya sana 2020 tofauti na awamu zilizopita

    Suala la maji, madawati, matibabu ni la CCM maana vipo madarakani, vipi uzungumzie vyama pinzani kuwa vinawaza upuuzi? Je unafikiri vitoe maji na madawa pamoja na madawati ndo vichukue nchi au kipi ccm mpka sasa kimefanya cha msingi?
  9. K

    JamiiForums Tanzania Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

    Walahi tena mashekh wajielewi kweli mgeni rasmi ktk ufunguz wa elimu ya Qur'an unamleta kafiri, masheikh mkapimwe.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo Sheria ya Jamhuri inayompa RC nguvu ya kumuita mwananchi yeyote anayeishi mkoa wake!!

    Jaman wengine kama vile wamelogwa na Makonda, kudhalilisha MTU na haki unaona , kwan angefanya upelelezi kwa kuwaita hao wote wangekataa? Cha msingi hiki kisa kina msingi wake na chanzo ndo maana baadhi ya mawaziri hawakushirikishwa kwenye sakata nyeti hili.Tafakari tumia maarifa & akili.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Zitto: Angalieni hali ya Wanafunzi, jirani yao Chato inajengwa Airport ya zaidi ya Tshs Bilioni 50

    Tembelea hiyo ujiridhishe kama huamini
  12. K

    JamiiForums Tanzania Waliofundishwa na Magufuli katika Sekondari ya Sengerema mje tuwachukue maelezo hapa

    Hahahaaaa inauma sana " bora mwizi kuliko munafiki adhabu kwa mungu ni hafifu
  13. K

    JamiiForums Tanzania Obama ampa usia Trump: Usipopata washauri wazuri, yatakushinda!

    Letu halitaki ushauri, wosia, yeye ndo yeye.
Back
Top Bottom