Habar za humu ndani,natumai ni wazima wa afya.
Mimi ni kijana wa miaka 22 nimebahatika kufika chuo,saiz nipo mwaka wa pili.
Nilikua ninawazo la kuwa mbunifu wa jezi za mpira wa miguu katika sekta ya michezo hapa Tanzania.
Naomba mchango wenu nianzie wapi wakubwa.
Mim nashangaa sana,nikajua kwamba muhimbili itakuwa kimbilio la wananchi masikini lakn ndo kwanza mambo yamekuwa tofauti,yawezekana ni kituoa cha kupga pesa
Ova
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.