Kuna walimu walitolewa kwenye payroll ila shida unakuta walirudia mitahani yao ya chuo kwa kuwa hawakuaga wakatolewa kwenye payroll ombi langu kwa JPM utoe msamaha vijana warudi kazini maana ajira nje ni ngumu na kwenye payroll walikuwa wameshaingia
Mh. Rais ipo mifano mingi tu hasahasa kwenye mifuko ya jamii wamewekana ndungu wa viongozi wa mifuko hiyo na watoto wa vigogo wengine hawana hata shahada ndio unakuta wakuu wa vitengo.
Naomba umulike huko ili usaili uwe huru na wa haki unakuta kunafanyika usaili mara mbili kabla ya usaili wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.