Recent content by kichwabaya

  1. K

    Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

    acha utani, mbona hakuna kitu kwenye mtandao wao
  2. K

    Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

    kuna ukweli wowote hapa!
  3. K

    Rai: Kapuya asamehewe...!

    napata wasiwasi wa kuhusu ukweli wa picha hizi hususani picha ya pili, ebu wataalamu wa ict watusaidie maana inawezekana zikawa zimefanyiwa editing
  4. K

    TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

    R.I.P dk Mvungi
  5. K

    Tatizo hili la sauti TBC1 ni kwangu tu,au?

    Tbc tangu walivyogeuzwa kuwa mali na wasemaji wa ccm niliacha kuiangalia labda kwa bahati mbaya.
  6. K

    Waziri Tibaijuka atoa kali Jimboni:Atembea na sufuria la Pilau kushawishi wananchi kuhudhria Mkutano

    tutaaminije kama habari hizi ni za kweli? weka picha ya sufuria hizo kwa karne ya sasa haiwezekani kwenye mkutano mzima ukakosa mtu mwenye simu yenye kamera, huku vijijini hususan rulanda simu za muchina ambazo hazikosi kamera ndio zimejazana nachelea kusema hizi ni habari za kupika, vinginevyo...
  7. K

    Madiwani 8 waliofutwa uanachama CCM Bukoba kuomba radhi

    in short bukoba mjini katika kuchagua mlikosea sana ni madiwani wachache wenye akili ambao wanaweza kusimamia jambo likatekelezwa tofauti na halmashauri nyingine za kagera wengi wapo tu
  8. K

    Madiwani 8 waliofutwa uanachama CCM Bukoba kuomba radhi

    wale wote ni majanga make wapo baadhi yao kuandika kwao ni shinda
  9. K

    TAHLISO yamuumbua January Makamba, yadai ni wanavyuo feki waliandaliwa, urais wamtesa

    kama kawaida ya wanasiasa wa tanzania kututumia kama vibaraka, hapa hakuna kitu ni watu tu wamepandikizwa ili kumpigia chapuo
  10. K

    January Makamba azidi kuipa presha CHADEMA

    makamba ana influence gani ya kutisha watu? huo ushabiki husio na maana!!!!!
  11. K

    Vitisho Kagame: Rwanda ikituchokoza kijeshi tutaichakaza

    kwani rais wa nchi anadharauriwa kiasi hicho? ebu tujiulize kwani kikwete kagame amdharau kwa namna hiyo.
  12. K

    Muundo wa Muungano: Tanganyika tunataka 'Serikali moja, nchi moja, taifa moja'!

    kama wazanzibar hawawezi kukubali kuvunjwa muungano ya kuwa na serikali moja ni sahihi kuwa na serikali tatu.
Back
Top Bottom