tutaaminije kama habari hizi ni za kweli? weka picha ya sufuria hizo kwa karne ya sasa haiwezekani kwenye mkutano mzima ukakosa mtu mwenye simu yenye kamera, huku vijijini hususan rulanda simu za muchina ambazo hazikosi kamera ndio zimejazana nachelea kusema hizi ni habari za kupika, vinginevyo...
in short bukoba mjini katika kuchagua mlikosea sana ni madiwani wachache wenye akili ambao wanaweza kusimamia jambo likatekelezwa tofauti na halmashauri nyingine za kagera wengi wapo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.