nikitafakari Zaidi nagundua kwamba hawa makenika wa mitaani wanajua sana kuliko hata wahandisi wa vyuo vikuu ima hata wajenzi waliobobea wanajua sana ...................nk
wakiwa hewa maana yake pia ni watumishi ambao hawahitajiki kiutendaji ila wako kwenye makatarasi kwa uelewa wangu na kuajiri wengine ni kuongeza mzigo ila pia nikitafakari sana na kujisahihisha, kuna nafasi nakubaliana na wewe kama waalimu kwamba tuna hitaji la waalimu na shule Fulani imeandikwa...
Ukweli ni kwamba hata wenye vyeti halisi utendaji wao hautofautiani na hao wenye vyeti feki, na huenda hata wanawazidi wengine
Nimefanya kazi na wanaojiita wasomi tena wa haja kwa kiwango cha changarawe lakini kwa kweli nimeishia machungu sana mtu ana Masters ya kitu hicho hicho alichosomea...
TASWIRA NNE, WAZIRI MWIGULU NCHEMBA ALIVYOFIKA NYUMBANI KWA MANARA KUMJULIA HALI
MANENO YA HAJI MANARA, MSEMAJI WA SIMBA AMBAYE JICHO LAKE MOJA LIMEPATA TATIZO LA KUTOONA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh Mwigulu Lameck Nchemba leo jioni alifika kunijulia hali na kuniahidi Serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.