Recent content by Kichuya

  1. K

    Yajue Mataifa Yasiyoamini Uwepo wa Mungu

    someka huna Imani na yeye au utafiti wake
  2. K

    Live Updates Ndondo Cupu; Kauzu FC VS Kibada

    patachimbika Misosi ya Tandale inacheza na Kauzu ya Tandika
  3. K

    Live Updates Ndondo Cupu; Kauzu FC VS Kibada

    SAFI KARIBU KAMA UNAI WEZA KAMATI
  4. K

    Suala la Vyeti Feki ni Mbwa kala Mbwa

    :rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes:
  5. K

    Hivi kweli ni Tsh1,000 lakini hakuna wateja

    kwa sasa kuagiza ni 3000 akiweka na ya bodaboda
  6. K

    Ubunifu wa kileo

    duh
  7. K

    Suala la Vyeti Feki ni Mbwa kala Mbwa

    nikiacha kazi nitakula nini na wanangu sasa
  8. K

    Suala la Vyeti Feki ni Mbwa kala Mbwa

    nikitafakari Zaidi nagundua kwamba hawa makenika wa mitaani wanajua sana kuliko hata wahandisi wa vyuo vikuu ima hata wajenzi waliobobea wanajua sana ...................nk
  9. K

    Suala la Vyeti Feki ni Mbwa kala Mbwa

    hili nina mashaka nalo sana...........ima hata hivi vyuo vya binafsi kutaka vionekane vimefaulisha...
  10. K

    Suala la Vyeti Feki ni Mbwa kala Mbwa

    kuna muktadha wowote na mada?
  11. K

    Suala la Vyeti Feki ni Mbwa kala Mbwa

    cheti cha kufundisha na ujuzi wa kufundisja sio?
  12. K

    Magufuli ana akili kuhusu Ajira, cheki hapa

    wakiwa hewa maana yake pia ni watumishi ambao hawahitajiki kiutendaji ila wako kwenye makatarasi kwa uelewa wangu na kuajiri wengine ni kuongeza mzigo ila pia nikitafakari sana na kujisahihisha, kuna nafasi nakubaliana na wewe kama waalimu kwamba tuna hitaji la waalimu na shule Fulani imeandikwa...
  13. K

    Suala la Vyeti Feki ni Mbwa kala Mbwa

    Ukweli ni kwamba hata wenye vyeti halisi utendaji wao hautofautiani na hao wenye vyeti feki, na huenda hata wanawazidi wengine Nimefanya kazi na wanaojiita wasomi tena wa haja kwa kiwango cha changarawe lakini kwa kweli nimeishia machungu sana mtu ana Masters ya kitu hicho hicho alichosomea...
  14. K

    Magufuli ana akili kuhusu Ajira, cheki hapa

    atakua na akili kama hao 20,000 ambao ni hewa ataajiri wengine 20,000 ambao NI PUMZI hapo nadhani hesabu umeingia chaka maana hewa haiwezi kuwa mtu
  15. K

    Waziri Mwigulu Nchemba Alipomtembelea Msemaji wa Simba

    TASWIRA NNE, WAZIRI MWIGULU NCHEMBA ALIVYOFIKA NYUMBANI KWA MANARA KUMJULIA HALI MANENO YA HAJI MANARA, MSEMAJI WA SIMBA AMBAYE JICHO LAKE MOJA LIMEPATA TATIZO LA KUTOONA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh Mwigulu Lameck Nchemba leo jioni alifika kunijulia hali na kuniahidi Serikali...
Back
Top Bottom