Walisema ya kwetu sote..na media wao hawana bifu mbona kiba na boss wao wana msuguano mkali na wanapiga nyimbo zake hata kumtangaza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inaweza ikawa kweli ila kwa hali ilivyo sasa hakun msanii hasa ambaye hana media akakataa nyimbo yake isipigwe mahala flani...inawezekana konde akawa jeuri lakink hana huo ubavu wa kukataa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kabisa na sasa Media inaenda kuwa ya kifamilia zaidi matukio yaliyowekwa mbele ni ya kifamilia zaidi. mng'ato,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu si kweli unataka kuniambia wasanii wote wengine nao wamepeleka kazi zao?
Harmonize hata alipokuwa amewekwa kwenye kinyang'iro cha tuzo hawajawahi hata kumuongelea,,muda ni rafiki utathibitisha tu haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wanajamvi
Mimi sio mwandishi mzuri ila kuna kitu nimeanza kukiona kwenye hii Media mpya ambayo ina msemo "Hii ni ya kwetu sote". Ukweli ni kwamba siku hizi hii media imeanza kususa kabisa kupromote mambo au kazi zinazomuhusu Harmonize.
Mfano Harmonize jana ameachia video ya wimbo wake...
Wakati nasubiri matokeo ya form six 2014 nilienda kuishu kwa bro wangu mitaa ya kinyerezi mwisho.Nilikaa kwa bro kwa miezi 3 yeye anamke na mtoto mmoja..sasa katika ule mtaa kulikua na manzi mmoja mpole sana kipindi hiko yupo kidato cha nne katika shule ya sekondari kinyerezi.
Yule manzi alikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.