hoja ipi speciffically ?Huo mfano wako wa viziwi mzuri sana ila haujibu hoja bado
Zote za mtoa mada, na hasa hiyo ya kutohubiri kwa habari ya toba na msamaha wa dhambi.hoja ipi speciffically ?
sikuwepo siwezi jibu hilo atuwekee clip za mkutano wote siku hizo mbili tuangalie hapa tujadili kwa pamoja kwa uwazi.MLETA MADA TUWEKEE CLIP ZA MKUTANO ZA SIKU ZOTE MBILI HAPAZote za mtoa mada, na hasa hiyo ya kutohubiri kwa habari ya toba na msamaha wa dhambi.
huduma ya delivarance ni tofauti na huduma zingine nikueleze kwa nini huanza na shuhuda.UNAPOTAKA kumtandika adui unaanza na shuhuda.BIBLIA inasema wakamshinda kwa shuhuda zao soma2. Mtumishi alivyo mkuwa anafika Jukwaani anaanza na watu watoe shuhuda. Nilishangaa sana kwa kweli badala watu wahubiriwe wokovu mtumishi anaanza na watu wenye shuhuda.
Mkuu samahani naomba unisaidie kifungu cha maandiko ya biblia kinacho husu hili tukio.Unashanga nini pesa za miujiza zipo.Labda tufafanulie wewe zile pesa petro wakati wa Yesu alitoa kwenye tumbo la samaki na kulipa kodi .Zile hela ziliingiaje kwa samaki ,kutoka chanzo kipi?
Yesu mwenyewe alikuwa na mabaunsa 12 mitume wake.POPOTE alipoenda alienda naoMimi nilidhani kulindwa dhidi ya mapepo kunahitaji nguvu ya Mungu kumbe kunahitaji mabaunsa?
Mathayo 17:24-27Mkuu samahani naomba unisaidie kifungu cha maandiko ya biblia kinacho husu hili tukio.
Yesu hakuwa na mabaunsa usipotoshe, tena yeye alimkanya mwanafunzi wake asipambane na watesi wake.Yesu mwenyewe alikuwa na mabaunsa 12 mitume wake.POPOTE alipoenda alienda nao
kuna siku alivamiwa baunsa wake petro akatoa kisu chake akamkata sikio mtu
Noti pekee ndio imeandikwa FEDHA HALALI KWA MALIPO5. Mtumishi anasisitiza sana watu watoe sadaka ile noti yenye thamani.
Musa kama yupo mwisrael ana haja gani ya kuomba Mungu? Akihitaji kware anamwambia Musa .akihitaji maji anamwambia Musa NA ANAVIPATAYEHODAYA
Hao wanaojazana kumsikiliza mtu kama yule ni wale wavivu wa kusoma Bible wakiamini kila kitu atakimaliza nabii sijui mtume,kusali hawasali wanasubiri mtume asali kubariki walivyopewa mamlaka wavibariki hawataki wamemuachia mtume abariki mwisho kawaambia wakachote baraka kwa miguu.