Wadau sio Siri kati ya watu waliopata mke ni Mimi nao tuna 4 kids ila my wife zaidi ya wife material yaani namba moja kubwa capital letter kuanzia tabia,shape mpaka mambo Fulani na zaidi kafa kaoza kwangu mzee wa mashine ila sasa Mimi ndo namuangusha sasa hivi najitahidi sana kuwa mume bora
Kuna watu humu wanakatisha tamaa kabisaa hakuna biashara isiyokuwa na changamoto Cha msingi ni uvumilivu, Mimi hii biashara ya mchele nafanya sana hiyo interval ya miezi ndio nadeal nayo tena inalipa sana.
Nunua mpunga mzuri na uliokauka Bei inategemea ila Mimi nilipo shilingi inazaa shilingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.