Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Tikiti kusinyaa kwa mbele na kuweka baka jeusi
Ndio hivyo mkuuDuuu
Hilo tikiti kipind linaanza kutoa matunda lilikosa maji sawasawa ndo mana likajikunja hapo ko kukauka kwake ni ishara ya kutoendelea kukuaTikiti kusinyaa kwa mbele na kuweka baka jeusi
Fafanua!Duuu
Unalimia kwa sehem gan nikupe ushauri
Je ukichunguza huweza kuona tobo?Tikiti kusinyaa kwa mbele na kuweka baka jeusi
Mkuu huoza kuanzia sehemu ile ya mbele ambapo kuna kovu baadae lote huoza. Asante kwa link nimepata ujuzi cha msingi naufanyia kaziJe ukichunguza huweza kuona tobo?
je baada ya kuanza kuoza huoza lote au vinginevyo?
kwa msaada zaidi tembelea hapa CHALAJI COMPANY LIMITED: UFAHAMU UGONJWA WA KUOZA VITAKO(BLOSSOM END ROT) KWA MATIKITI NA NYANYA.
Mkuu asante kwa ushauriPole sana mkuu, huo ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu aitwaye kwa jina la kienyeji "dondoa".
Mdudu huyo hutoboa matunda yakiwa machanga na ana sumu ambapo akishatoboa hukojolea hiyo sumu na kusababisha tunda lioze kwenye sehemu iliyotobolewa au kuozesha tunda zima.
Kama halikuoza lote, litaoza sehemu iliyotobolewa na hiyo sehemu husinyaa na sehemu zingine huendelea kukua hivyo tunda huwa na mkunjo flani.
Wadudu hawa huishi kwenye miti hususani mikuyu, miembe nk.
Wadudu hawa ni waharibifu sana kwenye matunda hivyo dawa za sumu kali na zenye harufu huwakimbiza shambani mfano Selecrone ni dawa mojawapo unapaka kwenye pamba au vipande vya godoro na kusimika shambani kila mahali.
Pia kuna mitego ya kuwanasa ambayo hutundikwa at least mitego 6 kwa ekari moja na kila mtego ni shs 5000.
Hiyo mitego ipo kama chocolate inawa attract hao wadudu wanapoingia tu hukutana na sumu na kufa hapo hapo.
Wauzaji wa hiyo mitego nawafahamu waliopo Arusha.
Pole sana mkuu
Pole mkuu yaani ni hasara sanamkuu hata mimi hilo tatizo limenikumba, kwanza nililima wakati wa masika yakawa yanaoza upande mmoja, nikadhani yamezidiwa maji. Ila nikalima baada ya masika lakini tatizo likawa hilohilo. Ila nilichogundua hayo matikiti ya hybrid ndio yenye shida, lakini yale meusi sikuona yakipta tatizo hilo. Naomba ushauri huo pia unikute na mimi.
Uko vizuri fata huu ushauri naona tikiti limelala chini linaungua na kuoza na unyevuTengenezea ngata ya majani. Kama zile wamama wanazoweka kichwani wakati wa kubeba ndoo ya maji... Yani tikiti lisiguse ardhi wakati linaanza kukua...