Recent content by kicholongeo

  1. K

    Ijue Kibera- Nairobi, Kenya:- Moja ya makazi duni ya mabanda (slums) makubwa 10 katika dunia

    una uhakika huo ujenzi unafanyika kibera? au nyang'au linatuma tu mipicha yake ya kuokoteza!
  2. K

    App / Link ya kuicheki game online

    wakulungwa wako kimyaa!
  3. K

    Mlioachana na wake zenu wa ndoa, ushuhuda au ushauri wenu unahitajika tafadhali

    ...mambo ya kizamani kwa ndoa za kizamani! kikao na wazazi? ili iweje!
  4. K

    Mlioachana na wake zenu wa ndoa, ushuhuda au ushauri wenu unahitajika tafadhali

    ...unaongea nini wewe! ukikua utaona kama si kwako, basi kwa ndugu yako au hata kwa rafiki au jirani! anachoshauri jamaa ni sawa kabisa!
  5. K

    Tuliofunga gesi kwenye magari njooni tupongezane, bajeti ya mafuta kutoka 900,000/= hadi 200,000/= kwa mwezi

    mkuu hii ni habari njema! hebu jaribu kufafanua, hii ni habari njema hasa katika kipindi hiki! hebu anzia kwenye vituo vya ufungaji, gharama ya ufungaji kama ni kutegemeana na aina ya gari au ujazo wa gas yenyewe, na pia ni kwa jinsi gani inakuwa nafuu katika matumizi kulinganisha na mafuta ya...
  6. K

    Dunia haina usawa: Wakati Shule ya St. Francis Girls ikiwa na Div One za 7 zipatazo 41, Mkoa wa Kaskazini Unguja hauna Div One hata moja

    mkuu si ndio hao wanaoitibu familia yako! au unataka wajitambulishe kuwa sisi ni product ya shule furani?
  7. K

    Dunia haina usawa: Wakati Shule ya St. Francis Girls ikiwa na Div One za 7 zipatazo 41, Mkoa wa Kaskazini Unguja hauna Div One hata moja

    kati ya makundi haya yupi mwenye option zaidi ya moja? yaani kuweza kuajiriwa na kujiajiri pia! kundi hilo lenye option zaidi ya moja ndio litakuwa limekombolewa na elimu
  8. K

    Dunia haina usawa: Wakati Shule ya St. Francis Girls ikiwa na Div One za 7 zipatazo 41, Mkoa wa Kaskazini Unguja hauna Div One hata moja

    Dah! mkuu utakuwa na tatizo kwa head lako! una uhakika kabisa kuwa wanaopata one ya saba hawana pa kwenda! na ni wajinga! bali wazenji wanaopata zero ni wajanja kwa sababu wataenda kuuza spares! iko haja ya kukuombea nafasi ya upendeleo pale St Francis ukaelimike!
  9. K

    Dunia haina usawa: Wakati Shule ya St. Francis Girls ikiwa na Div One za 7 zipatazo 41, Mkoa wa Kaskazini Unguja hauna Div One hata moja

    vp mkuu umeangalia mchango wa wataalamu kwa mfano sekta ya afya ambayo kimsingi yanahitaji elimu? nafikiri madaktari wasomi ndo wanasaidia kuiponya afya yako inayoshambuliwa mara kwa mara kutokana na ujinga wako!
  10. K

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    ushauri mzuri sana mkuu, hasa linapokuja suala la trading psychology!
  11. K

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    jazia nyama kidogo kwenye maelezo yako, japo robo kilo! kama Shukurani mkuu kwa kunipa mwanga, ngoja nichek hiyo link nijue jinsi pia ya kuziona na kuzchora kwenye chart
  12. K

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu jazia nyama kidogo kwenye maelezo yako, japo robo kilo! kama hutajali lakini!
  13. K

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu hizo levels zako(blue lines) unazipataje? unatumia fibonacci?
Back
Top Bottom