mkuu hii ni habari njema! hebu jaribu kufafanua, hii ni habari njema hasa katika kipindi hiki! hebu anzia kwenye vituo vya ufungaji, gharama ya ufungaji kama ni kutegemeana na aina ya gari au ujazo wa gas yenyewe, na pia ni kwa jinsi gani inakuwa nafuu katika matumizi kulinganisha na mafuta ya...
kati ya makundi haya yupi mwenye option zaidi ya moja? yaani kuweza kuajiriwa na kujiajiri pia! kundi hilo lenye option zaidi ya moja ndio litakuwa limekombolewa na elimu
Dah! mkuu utakuwa na tatizo kwa head lako! una uhakika kabisa kuwa wanaopata one ya saba hawana pa kwenda! na ni wajinga! bali wazenji wanaopata zero ni wajanja kwa sababu wataenda kuuza spares! iko haja ya kukuombea nafasi ya upendeleo pale St Francis ukaelimike!
vp mkuu umeangalia mchango wa wataalamu kwa mfano sekta ya afya ambayo kimsingi yanahitaji elimu? nafikiri madaktari wasomi ndo wanasaidia kuiponya afya yako inayoshambuliwa mara kwa mara kutokana na ujinga wako!
jazia nyama kidogo kwenye maelezo yako, japo robo kilo! kama
Shukurani mkuu kwa kunipa mwanga, ngoja nichek hiyo link nijue jinsi pia ya kuziona na kuzchora kwenye chart
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.