Recent content by Kichoi

  1. Kichoi

    Tundu Lissu: Rais Magufuli anapotosha kuhusu "Magwangala", ajifunze kwa Rais wa Bolivia

    Soma Tena Hoja ya Lissu. Hujampata Mkuu. Ishu hapa ni Sheria inasema nini au inataka nini.
  2. Kichoi

    Singida: Tundu Lissu(MB) akamatwa na Jeshi la Polisi, Kusafirishwa kupelekwa Dar haraka!

    Tundu Lissu Tunakuombea Afya Njema Nguvu na Ulizi wa Mungu na Malaika wake wakulinde katika yote Magumu Unayo Pitia. Neno hili la Zaburi Likawe Faraja Kwako - Zaburi 27: 1- 6 Magufuli Umejinasibu Kuwa Wewe ni Mcha Mungu. Hakikisha Tundu Lissu Anakuwa ktk Mikono Salama, Hadhiriki kwa Lolote iwe...
  3. Kichoi

    Msaada: Wadudu wamekula mbao za dari, paa linataka kudondoka. Mtaalamu wa dawa anisaidie ushauri

    Hili Tatizo hata mimi limenikumba. Nasikitika kusema kuwa wauzaji wa hizi mbao wanasema ni Treated lkn kiuhalisia haziko treated, wanatutapeli hela zetu kwa kutuuzia mbao ambazo zimechovya kwenye dawa lkn hazija chemshwa na dawa. Mti kwa kawaida una Starch au wanga ambao ndio kivutio kikubwa cha...
  4. Kichoi

    Hii ndio full list ya mikoa yenye wanawake wanaojua kukarangiza misosi

    Chamecha Papa! Kilimanjaro ndio kila kitu bila kusahau Kitimoto Rosto na kazi asili yake Kilimanjaro
  5. Kichoi

    Mwaka 2020 sio mbali

    Huo Uchochezi sasa!!
  6. Kichoi

    Kizaazaa: Bwana harusi apokea zawadi ya picha za mkewe akishiriki tendo kinyume na maumbile

    Hivi leo tuseme kila mwanamke arudi kwa mwanaume wake wa kwanza wewe ungebaki na nani!? Au ni nani angerudi kwako na wangapi!? Hii naona ni sawa. Malipo yote ni hapa duniani kwa Muowaji na Huyo dada aliye olewa. Ni wangapi humu ndani waliooa na kuwakuta Wake zenu bikira!? Kama hukumkuta...
  7. Kichoi

    Mtanie wa juu yako

    Kwenu wachafu mpaka Mende wanavaa kandambili! Mwone kwanza mdomo unanuka kama shimo la choo!
  8. Kichoi

    Kuacha utani wanawake warefu ni wazuri sana

    Binadamu tumefikia hatua ya Kumkosoa Mungu. Kila alicho kiumba Mungu ni chema. Binadamu ameumbwa kwa sura na mfano wake Mungu. Kila Mungu alicho kiumba Mola kina sababu yake.
  9. Kichoi

    Huyu mpezi wangu ananiambia anapenda kuwa na wanaume wawili

    Hiyo ni gia ya kukuacha. Wanawake akili zao zinawatosha wenyewe
  10. Kichoi

    Suluhisho: Tatizo la mita ya luku kugoma kupokea token

    -Nasisitiza, ili mita iliyopo kwenye nguzo iweze kuonana na (kiwasilianishi) kwa lugha nyepesi call it remote, hakikisha imepachikwa ktk socket. - Jambo jingine Nakushauri badilisha Betri ( weka betri mpya) kisha fuata maelekezo niliyo kupa. - Kama umeme umekwisha kabisa ktk mita yako, nenda kwa...
  11. Kichoi

    Suluhisho: Tatizo la mita ya luku kugoma kupokea token

    Ili kuweza kutumia mita yako ya LUKU fanya yafuatayo 1. Hakikisha betri za remote yako ni nzima na zimewekwa kwa usahihi ktk sehemu ya betri. 2. Hakikisha Main Switch na Circuit Breaker ya nyumba yako zimewashwa/ ziko ON. 3. Pachika remote yako ktk switch socket moja wapo na hakikisha inakuwa...
  12. Kichoi

    TANESCO yawasimamisha kazi Maofisa 7 kutokana na makosa mbalimbali, wizi na ubadhilifu

    Magufuli usifanye Makosa Kung'oa Mramba Tanesco. Fanya uchunguzu umfahamu Mramba ni nani na Tanesco amefanya nini na anafanya nini. Mramba ni Mwadilifu na mwaminifu mchapa kazi siku zote. Tumeshuhudia Tanesco ikiinarika siku hadi siku. Huduma zikiboreshww utendaji wa uwazi ukiongezeka. Shirika...
Back
Top Bottom