Recent content by Kiby

  1. Kiby

    Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

    Jamaa Jamaa kaehuka masikini hata hajui kazi ya ukuu wa mkoa aliyopewa ni ipi. Maandiko matakatifu hayajawahi kukosea. Ukimwaga damu ya mtu huwa inakulilia kutoka mavumbini ikidai kisasi kwa Muumba. Damu ya kina Ben saa8 na za wengine zinamlilia kutoka mavumbini. Magu alimtema ukuu wa mkoa...
  2. Kiby

    Wachungaji waliotumwa na Mungu, Kemeeni watu kama Huyu, anaharibu Waumini na Jamii

    1 Timotheo 2:12-13 [12]Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu. But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence. [13]Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye. For Adam was first formed...
  3. Kiby

    Jeshi la Ardhini la Israeli IDF limeshindwa kuwakomboa Mateka Rasmi

    Hamasi wenyewe hawakai Gaza wapo nchi jirani wakila bata wakati ardhi yao ikigeuzwa kifusi.
  4. Kiby

    Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemwekea vikwazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda kwa madai ya kuhusika katika uvunjifu kamili wa haki za binadamu na tuhuma nyingine. Pia vikwazo hivyo amewekewa mke wake Makonda, Mary Felix Massenge. Taarifa iliotolewa Ijumaa na wizara ya...
  5. Kiby

    Makonda kupelekwa Arusha ni mtego

    Ole wenu arusha na viunga vyake, kwa maana yule muuaji aliyesababisha nyumba nyingi kuwa na matanga ya wototo wao akiwa RC Dar ameletwa kwenu. Ni heri kwenu mwenye ng" ombe, mchicha, bangi ya kisimiri nk muviuze mnunue panga za kujilinda wenyewe na wana wenu.
  6. Kiby

    Jerry Silaa: Alex Msama ni tapeli namba 3 wa Viwanja, ajisalimishe

    Eti promota wa nyimbo za injili ,tamasha la pasaka? Mkiambiwa dini ya ukristo ni kiota cha kile ndege mchafu muwe mnakubali. Wezi kwa utapeli, waganga na wachawi , wapiga deal na watawala wamejificha kwenye dini.
  7. Kiby

    Msaada: Nikituma code *#61# Kwenye simu yangu inaleta ujumbe huu

    Nakushukuru ndg Nimefanikisha kuondoa hiyo divert kwa hii code uliyonipa.
  8. Kiby

    Msaada: Nikituma code *#61# Kwenye simu yangu inaleta ujumbe huu

    Waliosoma saikolojia wanafahamu fika kuwa mtu huzungumzia jambo kwa ujuzi wake kama amelishiriki. Pole ndg yangu kwa hayo mavitu energy na mandazi. Hata hivyo bado uko juu kwa kuweza kuvipata. Kuna ndg zako hata huo uwezo hawana. wanashindia maji ya kidimbwi na kipande cha mhogo.
  9. Kiby

    Msaada: Nikituma code *#61# Kwenye simu yangu inaleta ujumbe huu

    Natuma code *#61# Kwenye simu yangu inaleta ujumbe huu[emoji116] Sidukuliwi kweli?
  10. Kiby

    Today I Learned (TIL): Adam alikuwa na Wake Wawili

    Elimu nyingine ni mbigiri zina miiba mingi ya kutosha kukuchoma wakati wa kuzisoma.
  11. Kiby

    Bwawa la Mwalimu Nyerere lafikia MITA 185 ujazo, lajaa mpaka kikomo

    Ndio mipango ya kiafrika hiyo Ujenzi wa nyumba wanaanza na paa halafu kisha wanarudi kuchimba msingi.
  12. Kiby

    Steve Nyerere afanya tathmini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu, amsifia kwa kuondoa tatizo la umeme, reli ya kisasa

    Kama urais wa Tanzania umeshuka thamani kiasi hiki, simshauri mmoja wa ndugu zangu kugombea hapa nchini.
  13. Kiby

    Askari Polisi mstaafu, Saba Sita anafukuzana na kivuli cha mauti yake

    Kwanza tujiulize kwa wale wanaomfahamu katika utumishi wake jeshini alikuwa je. Mtu wa haki kwa kutenda mema au alitenda kama asiyefaa kwa husuda? Tuanzie hapo ili kumjadili kwa haki.
  14. Kiby

    Lissu kama kweli unataka kuwa Rais wa JMT achana na "cheap politics"

    Lakini kwanza unakubali kuwa Makonda alimtapeli GSM nyumba?
  15. Kiby

    Ukweli kuhusu Biblia

    Hebu wewe uliye naye semea manabii kama kina Abraham, Daud, Yakobo nk kuwa na mke zaidi ya mmoja hawakua naye? Hupaswi kujificha kwenye ujuzi usio na msingi uliojengwa juu yake . Fundisha ABC's za Mungu kupitia neno ambalo yeye ndilo hilo. Hiyo ndiyo shauku kwetu sote tunaopenda kujifunza.
Back
Top Bottom