Ni kweli kuna matengenezo ya barabara toka Beira hadi Lusaka, lakini sio kwa kiwango cha njia sita.
Ujenzi na matengenezo hayo yanafanyika kwa baadhi ya maeneo tu katika barabara hiyo kwa kiwango cha njia mbili.
Ikumbukwe kuwa umbali wa kutoka Beira hadi Lusaka ni Km 1050, huku umbali toka Dar...
Kufungiwa kwa daladala katika sehemu zinazofanyakazi MOFAT, ni sehemu ya mkataba hivyo hili lingetokea tu.
Miradi kama hii imekuwa na changamoto sio tu kwa Tanzania hata huko nje mfano Brazil na Malaysia. Ambapo Daladala zilijikuta zikiondolewa barabarani kupisha aina mpya ya usafiri.
Nachoona...
Lilikuwa ni suala la muda tu.... uwekezaji hauji bila maumivu.
Kuhusu ushirikishwaji wa wananchi wa eneo hilo, ilitakiwa ufanyike kabla ya uwekezaji kwa kufuata misingi ya bottom up approach...
Kiatu changu cha ngozi kilikuwa marinading sana... kiwi iliweza kudumu kwa siku tatu... ni mwendo wa kupangusa vumbi tu..
Kelele za honi nilisahau kabisa....yaani gari linakupiisha pasi honi... ukienda stendi za mabasi hakuna kelele.. za wapiga debe..
Kwenye vituo vya Daladala/ Mwendokasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.