Recent content by Kibunango

  1. Kibunango

    Mwanamke mmoja aliomba 200k kwa dharura kilichotokea ni hichi

    Hi story ipo kitambo hapa JF... https://www.jamiiforums.com/threads/kulipwa-pesa-kwa-papuchi.2051121/
  2. Kibunango

    Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea ndani JF?

    Uzi wa Arsenal ni moja ya thread ndefu zaidi hapa JF.... Formula 1 Grand prix imefanya vema hapa JF licha ya Mad Max kuipotezea Anyway jukwaa la sport linafanya vibaya .... Hii Inaonyesha kuwa michezo sio sehemu kubwa ya wachangajihadi wa JF
  3. Kibunango

    Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea ndani JF?

    Na kuna mwaka Invisible alitoa umoderator na ban kwa memba wengi tu...
  4. Kibunango

    Kuna watu wanaamini Brahim Diaz alijikosesha penati!!

    Waliowahi kufunga penati ya Panenka katika michezo ya fainaili under pressure Antonin Panenka Fainaili ya Euro 1976 ( Baada ya kufunga penati hii... staili ya upigaji wake ikaitwa kwa jina lake) Zinedine Zidane Fainali Kombe la Dunia 2006 Alex Sanchez Fainali Copa America 2015 Waliokosa...
  5. Kibunango

    Kumekucha Mbagala: Kampuni ya MOFAT imetuma ombi LATRA kuziondoa Daladala

    Lengo la Mwendokasi(Mofat) ni kuondoa usafiri wa vurugu, ovyo na usio na ratiba wa Daladala, na kuweka usafiri wa haraka, salama na unaofuata ratiba. Iwapo hao Mofat wana mabasi ya kutosha(naamini wanayo), hakuna sababu yoyote ya msingi ya Daladala kuendelea kutoa huduma. Zaidi muundo wa...
  6. Kibunango

    Zanzibar wanashindwa Kuvuta Maji kutoka Dar km 67 tu? Wanakazana kujenga Misikiti

    Moja ya sifa kubwa ya Zanzibar ni kuwa na maji safi na salama, ambayo iliwafanya wasafiri wengi kupita visiwani hapo kuchukua akiba ya maji kwa safari zao.
  7. Kibunango

    Uzinduzi wa Mfumo wa usajili wa Diaspora wenye asili ya Zanzibar

    Tanzania Bara walishafanya hivyo tokea 2023
  8. Kibunango

    JAYRUTTY aonyesha IRIZAR la Simba

    Hiyo picha I wapi?
Back
Top Bottom