Recent content by Kibunango

  1. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Vaseline ipo tokea miaka ya 47... Ila sio familia nyingi zilizoweza kutumia mafuta hayo wakati ule kulinganisha na sasa...
  2. Kibunango

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Group sex inaongezeka kwa kasi hapa Bongo

    Unalalamika au unatoa taarifa?
  3. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Hivi Pombe za kunywea nyumbani hazipandi

    Sio vyema kunywa pombe mbele ya watoto...
  4. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Marekani ina mradi wa reli uliokwama zaidi ya miaka 10 + Daraja lililoanguka | China inajenga mtandao mpya wa miundombinu kila kukicha

    Nyongeza, reli hiyo ina umbali wa km. 1,860 na ilichukuwa muda wa chini ya miaka 5 kujengwa hadi kuanza kazi rasmi.
  5. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Kongo (DRC) imeipiku Ethiopia na kuwa nchi ya tano kwa uchumi mkubwa zaidi barani Afrika.

    Itakuwa ndani ya nchi 15....
  6. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Kuna mchezaji ana bahati mbaya kama Michael Ballack?

    Kwenye mashindano ya magari (rally) hiyo namba ilifutwa kìtambo... nasikia hata kwenye ujenzi wa maghorofa.. namba hiyo hurukwa!
  7. Kibunango

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke mmoja aliomba 200k kwa dharura kilichotokea ni hichi

    Hi story ipo kitambo hapa JF... https://www.jamiiforums.com/threads/kulipwa-pesa-kwa-papuchi.2051121/
  8. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea ndani JF?

    Uzi wa Arsenal ni moja ya thread ndefu zaidi hapa JF.... Formula 1 Grand prix imefanya vema hapa JF licha ya Mad Max kuipotezea Anyway jukwaa la sport linafanya vibaya .... Hii Inaonyesha kuwa michezo sio sehemu kubwa ya wachangajihadi wa JF
  9. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea ndani JF?

    Na kuna mwaka Invisible alitoa umoderator na ban kwa memba wengi tu...
Back
Top Bottom