Recent content by Kibunango

  1. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Tupo kwenye vita kali sana ya kiuchumi na Kenya

    Ni kweli kuna matengenezo ya barabara toka Beira hadi Lusaka, lakini sio kwa kiwango cha njia sita. Ujenzi na matengenezo hayo yanafanyika kwa baadhi ya maeneo tu katika barabara hiyo kwa kiwango cha njia mbili. Ikumbukwe kuwa umbali wa kutoka Beira hadi Lusaka ni Km 1050, huku umbali toka Dar...
  2. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mbeya ni jiji? My Detailed Explanation

    Uhindini Mbeya
  3. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Serikali imesikiliza maoni ya wananchi inapoikubalia Kampuni ya MOFAT ombi LATRA kuziondoa Daladala Mbagala?

    Kufungiwa kwa daladala katika sehemu zinazofanyakazi MOFAT, ni sehemu ya mkataba hivyo hili lingetokea tu. Miradi kama hii imekuwa na changamoto sio tu kwa Tanzania hata huko nje mfano Brazil na Malaysia. Ambapo Daladala zilijikuta zikiondolewa barabarani kupisha aina mpya ya usafiri. Nachoona...
  4. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Serikali imesikiliza maoni ya wananchi inapoikubalia Kampuni ya MOFAT ombi LATRA kuziondoa Daladala Mbagala?

    Lilikuwa ni suala la muda tu.... uwekezaji hauji bila maumivu. Kuhusu ushirikishwaji wa wananchi wa eneo hilo, ilitakiwa ufanyike kabla ya uwekezaji kwa kufuata misingi ya bottom up approach...
  5. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Formula 1® Grand Prix special thread

    Subiri...
  6. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Mfalme wa mechi Kati ya PSG vs Arsenal

    Referee...
  7. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Kiatu changu cha ngozi kilikuwa marinading sana...  kiwi iliweza kudumu kwa siku tatu... ni mwendo wa kupangusa vumbi tu.. Kelele za honi nilisahau kabisa....yaani gari linakupiisha pasi honi... ukienda stendi za mabasi hakuna kelele.. za wapiga debe.. Kwenye vituo vya Daladala/ Mwendokasi...
  8. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Vaseline ipo tokea miaka ya 47... Ila sio familia nyingi zilizoweza kutumia mafuta hayo wakati ule kulinganisha na sasa...
  9. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Group sex inaongezeka kwa kasi hapa Bongo

    Unalalamika au unatoa taarifa?
  10. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Hivi Pombe za kunywea nyumbani hazipandi

    Sio vyema kunywa pombe mbele ya watoto...
  11. Kibunango

    JamiiForums Tanzania Marekani ina mradi wa reli uliokwama zaidi ya miaka 10 + Daraja lililoanguka | China inajenga mtandao mpya wa miundombinu kila kukicha

    Nyongeza, reli hiyo ina umbali wa km. 1,860 na ilichukuwa muda wa chini ya miaka 5 kujengwa hadi kuanza kazi rasmi.
Back
Top Bottom