Recent content by kiboko ya makonde

  1. K

    Maskini mke wangu

    yahaani kukutana ofisin wanaona haitoshi hadi home du!!Muulize cha maana wanachokifanya kuhusiana na kazi ni nini, kwanza mna mtoto hapo home maana kama yupo free hapo jamaa atakuwa anamega hapo hapo hana gharama za gest wala nini
  2. K

    Maskini mke wangu

    jamaa atakuwa anamega huyo na usikute anamla 0713 ndo maana akiulizwa analia
  3. K

    Vijana wakimya wana bahati sana ya kupendwa na wasichana

    mimi mwenyewe mkimya basi nagegeda kwenda mbele watu wakipata taarifa kuwa nimegegeda wanabisha si wanajua mm domo zege kumbe domo la mamba
  4. K

    Nashindwa kumuweka kwenye fungu gani huyu bwana

    Mwenzenu mm ni bikra wa kiume nahitaji mwenza ila ninavyosikia kugegeda raha, umri ni miaka 30
  5. K

    Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud afukuzwa kazi, Said Hassan Said apewa nafasi hiyo

    sasa ulitaka afanye nini, utawezaje kuongoza kitu ambacho ukitaki
  6. K

    Mtu abadilisha jinsia Kenya

    BBC Swahili jion hii mtu mmoja amebadili jinsia na kuwa jinsia ambayo haifamiki kutokana na maelezo yake anadai kabla ya kubadili jinsia alikuwa mwanamme Lengo kuu la kufanya hivi ni kutoa mwanya kwa watoa huduma kutoa huduma bila kujua jinsia gan that is why hata vyeti vyake kapeleka kesi...
  7. K

    Tabia ya Wazee waliopitia Ubaharia

    New port new wife, spend like a king die like a rat
  8. K

    Tabia ya Wazee waliopitia Ubaharia

    Fomula ya baharia ni hii "Bandari mpya, mke mpya, ishi kama mfalme, lakini utakufa kama panya", Baharia hana haja ya kuwa na nyumba maana nyumba yake ni Meli.
  9. K

    Hivi jeshi la polisi na magereza hawapimwi sare zao

    Nimekuwa nikifuatilia siku nyingi kuhusiana na sare za polisi wetu wa maeneo mbalimbali kama magereza trafiki na hata field force, wote kwa ujumla wao japo si wote wamekuwa wakivaa nguo hasa suruali yaani inabana hadi zipu inakenua na leo nimemwona mwingine hadi katika zipu pemben kumechanika na...
  10. K

    Antony Lusekelo; Ni mtu wa Mungu? real Christian?

    Wanaotoa pesa ni wengine ww povu linakutoka huo wote ni wivu tu,mtu anakwenda kumtunza kwa kuwa jamaa anaongea point za maana na hata kichwa kinafunguka unawaza mambo ya maana ndo maana kama unafuatilia kipindi huwezi ona mtu analala kila mtu anachangamka na kuimba
  11. K

    Kuna uhusiano gani kati ya Maandishi ya Kiarabu na Uganga?

    kwanza tuambie,ushawahi kwenda kwa mganga na hayo maandishi uliyopewa uliyaweka wapi
  12. K

    Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni mko serious?

    Leseni zote za biashara zonatoka makao makuu yaani wizarani, ndo maana zote zina mwonekano sawa kutokana na Lesen kuwa chanzo cha mapato katika Halmashauri, kila halmashauri inazitaka kwa wingi ikiwemo kinondoni, na vile vile mahitaji yamekuwa makubwa mno kwa kuwa wananchi wameitikia wito
  13. K

    Hongera Trafiki Polisi Ubungo !

    leo ulipata zali kwa kuwa aliyetakiwa kupita alikuwa nyuma yako, na ninaamin baada ya kupita huyo jamaa wenzio walikaanga mawe
Back
Top Bottom