Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Kumradhi....
Noted!
Kumradhi....
Ulivyo wasifia hivyo ni vizuri tu, was was wangu ni wale walio pigwa faini wamepewa stakabadhi ya serikali halali? au minotifcatation tu. tunaweza kuona jamaa leo wamefanya vizuri, kumbe nao ndo walikuwa mavunoni shambani!!!! kuvunjika kwa pakacha nafuu ya.......................!!!
Na-comment tu: hicho ni kimsimu tu!