Recent content by kiboko samson

  1. kiboko samson

    Na hivi ndivyo ilivyokuwa kwa Yanga msimu huu wa 2023/2024

    Yanga timu ya kawaida sana ila viongozi wamejipanga kuifanya timu yaoo ifanye vizuri kuanzia njee ya kiwanjaa
  2. kiboko samson

    Botswana imefanyaje kufikia hatua hii?

    Kila mtu anafanya kazi na naviongozi wanatekeleza wajibu waoo kiufasahaaa
  3. kiboko samson

    Njia pekee ya kuleta amani Kenya ni ku-deal na Odinga bila kudekezwa

    Ilaa kipewa handshake anakaa kimya mnaacha na njaaa unabaki tuachie BABA ukumnaendelaa kuteseka wakati yeye kashakula cake yake serekalini amkaa Sasa huu ujinga wakuandamana bila sababu ya msingi ni ujinga wakuharibu uchimi wa nchi
  4. kiboko samson

    Kama utani Rais Ruto anaondoka Madarakani na kama Arab States, EA inaelekea huko

    Usidanganywee na clip za mitandaoni hakuwa fujo Nairobi kama hioo unayoizungumziaa
  5. kiboko samson

    Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023

    Sema awamu hiii nazani Raila ujanja ujanja wakee unatakuwa umefika mwisho Kwa Ruto hapa ata gonga mwamba hichi ni chuma
  6. kiboko samson

    Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023

    Ukifatiliaa Nia ya Raila Toka enzi za MOI mpaka uhuru utajuwa Raila shida yake ni kuwa sehemu ya serekali wakati wote HANDSHAKE akisha pata hicho ata wananchi wake anawatelekeza na maandamano yaooo
  7. kiboko samson

    Rais Ruto kukimbilia Tanzania?

    Raila Ali mchallenge Moi akashinda Raila Ali mchallebge KIBAKI akashinda akapata katiba RAila Ali mchallenge uhuru akapata handshake akawa kwenye serekali ya uhuru SASA Anajaribu Tena kwa Ruto nazani huumoto mwingine utamuunguza muda sio mrefu
  8. kiboko samson

    Nyuma ya Rais kuna great thinkers ambao hutawaona majukwaani, mtandaoni au kwenye runinga. Nawaza tu

    Jaribu kuangalia designated survivor Series moja inazungumzia maisha ya rais wa marekani ndio utajua ikulu wapo hao watu nadhani na hapa kwetu wata kuwepo piaa watu wanaoumiza kichwa rais aseme Nini kwa wakati gani
  9. kiboko samson

    Jinsi Kesi ya Yesu ilivyovunja Sheria

    WARUMI 9:17 MPAKA FARAO ALIKUWA MTUMISHI WA MUNGU
  10. kiboko samson

    Mr. Kuku ahukumiwa kulipa fidia TSh. Bilioni 5.4, faini Tsh. Milioni 5 au jela miaka 5

    Huyu jamaa ni raia wa Tanzania? Kama ni Rais na aliweza kukusanya hizo bilioni za fedha sio wa kuchukulia poa Wazo lake lingechunguzwa kama lina msaada kwajamii na aelekezwe kufata Sheria na taratibu watu wapate ajira
  11. kiboko samson

    Ushauri juu ya biashara ya kitimoto

    Nyama ya nguruwe inakaa. Kwenye friji kwa muda gani
  12. kiboko samson

    GE2020 Tusimuache Lissu atuahidi yasiyowezekana

    Kama taifa ukiacha unafki kuna hoja za msingi Sana katika ila inayo nadiwa na chadema Kama taifa tukitaka kupiga hatua na kuwa nufaisha watanzania kwa ujamula bila kuangalia mafanikio ya watu wa chache elimu ya kupima kufaulu mtihani ndio akili imelitwa na wakati. Sasa elimu yenye soko duniani...
  13. kiboko samson

    GE2020 Tusimuache Lissu atuahidi yasiyowezekana

    Navyoo fahamu ahadi ya UCHAGUZI sio lazima itekelezeke kwa mwaka mmoja Inaweza kuwa mchakato wa muda mrefu ila lengo kuuu likiwa nikuhakikisha Kila mtanza napata BIMA YA AFYA nazani LISU amesema na nimemsikia hapa Arusha kwamba Kila MTANZANIA atapata bima kwa gharama nafuu Tena shaba ikiwa Kila...
  14. kiboko samson

    GE2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

    Yani nipo mtandaoni kama nafatia series ya money hiyest Lecasa de papel Nikusubiri kuona hatimaa ya lisu tu daah SIASA za bongo sasa zinafika mahala pake Nahaya yanaweza kuwa mageni ila ndio tamu za UCHAGUZI hakuna mtu anapata madaraka kuongoza watu kirahisi Hilo ndio ujue na ukikata tamaa ndio...
Back
Top Bottom