Recent content by kibobez

  1. kibobez

    Natamani kuolewa

    Aisee! Kila la heri katika kusaka mume, mungu atakujalia utapata hitaji lako! Lakini kiuhalisia umri wa mume umtakaye wengi wanakuwaga tayari wanafamilia au may be uwe mke wa pili au mchepuko!
  2. kibobez

    Wadada: Usidate na wanaume wenye majina haya..

    Uchochezi huu! Upuuzwe!
  3. kibobez

    Shirika la Afya: Kuwa kapera ni sawa na ulemavu

    Dah aiseee! Mlemavu mimi [emoji275][emoji275][emoji275]
  4. kibobez

    I think am in love with the wrong person

    Una umri gani? Mi nahisi ukikua na ukielewa unachokitaka katika mahusiano utatulia! Na kama ni mkubwa! Utakuja jutia baadae jua likizama!
  5. kibobez

    Utata wa miaka 30 duniani

    Unawaza sana ngono! Badilika! anza kuwaza vitu vya msingi kama familia,jinsi ya kuimarisha uchumi wako na kumtukuza mwenyezi mungu itakusaidia!
  6. kibobez

    Gudume: chanzo cha kutokuwa na mke mpaka sasa na kuwaogopa Wanawake

    Aisee pole sana gudume gwambegu! Vipi kuhusu shemeji yetu wa humu jf mmefikia wapi? Au na yeye unamuogopa?
  7. kibobez

    Eti hii text ina ubaya gani wakuu?

    Hawajakua bado! Wakikua na wakikwepa mishale mingi ya mahusiano naamini hawatokusumbua tena!
  8. kibobez

    Matumizi ya elfu kumi yangu leo

    Mkuu umemaliza kila kitu!
  9. kibobez

    Mimba itakua kikwazo

    Hakuna binadamu aliekamilika! unauhakika huko utakoenda utakutana na mtu parfect zaidi ya huyo? Kwanini kama unampenda usimwambie anapokosea na kusamehe kuliko kuyabeba na kufikiria kumuacha kimya kimya? Utaacha wangapi mkuu?
  10. kibobez

    Mimba itakua kikwazo

    So hiyo ndio sababu ya kumuacha? Sema ukweli tu hukumpenda na ulikuwa unatafuta sababu mkuu!
  11. kibobez

    Hivi HUYU demu ananpenda kweli¿

    Aisee! Miili yenu ipo sensitive sana hadi jasho hahaha! Kila la kheri mkuu
  12. kibobez

    Where are you my lovely husband I need you now

    Aisee unamaneno matamu sana! Ila hiyo kauli yako ya mwisho ndo naona unawakaribisha wajaribu bahati yao! Any way kila la heri mkuu!
  13. kibobez

    Ni Mimi tu inanitokea au lah! !!!

    Ni vizuri ukachagua moja mapenzi au shule! Maana mshika mawili moja humponyoka na ww mapenzi yanakuponyoka ni bora ukomae na shule na kama hausomi fanya kazi upate ngawira!
Back
Top Bottom