Utata wa miaka 30 duniani

Utata wa miaka 30 duniani

Unawaza sana ngono! Badilika! anza kuwaza vitu vya msingi kama familia,jinsi ya kuimarisha uchumi wako na kumtukuza mwenyezi mungu itakusaidia!
 
Unawaza sana ngono! Badilika! anza kuwaza vitu vya msingi kama familia,jinsi ya kuimarisha uchumi wako na kumtukuza mwenyezi mungu itakusaidia!
huyo ni mkewe, sio ngono ni tendo la ndoa tukufu
 
Baada ya kudiscuss akakupa solution ipi?
Hata weza nipa zaidi ya mara tatu...maana nimfanyakazi ana piga mzigo wa kutosha job akirudi pia mi namdaka...hivo hadi mwenyewe namhurumia pia mi sipendi uzinzi...nafsi yangu inanisuta kusalit ndoa yangu
 
Inaonekana wewe una utulivu wa mawazo, huna msongo wowote na unamudu majukumu na malengo yako yanafikika kirahisi.

Kwa mtu mwenye msongo, sex can be very boring. Hasa kama una majukumu mengi, kazi nyingi na malengo ambayo kimsingi yanachukua sehemu kubwa ya fikra zako.
 
Umeanza lini kumtamaani sana mkeo? anaonekana yuko bomba sana, hebu tupia kapicha kake hapa ila mkate uso!!!
Hiyo hali ni kipindi cha mpito, kadri unavyofanya ndivyo inavyozidi kuchanganya, jaribu kuicontrol hali yako ili utunze afya yako,too much ngono huharibu afya. ishanitokea sana hiyo hadi namuonea huruma wife, kwa sababu siku wewe una nyege sana yeye wala hana hamu na ukimkaza unamuumiza maana hata ukimchea ili aloane yeye wala hakupati na ukimkaza unamuachia michubuko...
Umenigusa sana mkuu...na experience same situation kama ulopitia...kuna mda unapewa tu lakini yeye hana hisia.Huwa najisifu sana huyu mama hapa ndani ni kisu asee
 
Hiyo hali ipo kwenye akili yako. Acha mawazo ya kutoridhika anza kuridhika b4 tendo.
 
Unawaza sana ngono! Badilika! anza kuwaza vitu vya msingi kama familia,jinsi ya kuimarisha uchumi wako na kumtukuza mwenyezi mungu itakusaidia!
Hali za wabongo wengi ni ngumu ndo maana mnafikiri kila mtu ana matatizo ya kiuchumi.Mkuu nimebarikiwa hapa duniani. Mi nimeoa kwa ndoa takatifu kanisani....na namtukuza Mungu na ndo maana niko mbali na uzinzi
 
Naomba ufafanuzi toka kwa watu wazima wenzangu..

Nina mke ananipa haki yangu ya ndoa mara tatu kwa wiki...lakini nashangaa pamoja na kupewa yote lately siridhiki na mwanamke mmoja maana nakuwa namtaka sana kiasi kwamba naona wakati mwingine kama Inakuwa too much...

Je suala hili linahusiana na umri maana Kabla niliweza ridhika tu na hizo mara tatu

Sasa hivi nina moto sana na haya mambo in short mtu mmoja hanitoshi..Tatizo ni umri au nina matitizo binafsi..

[HASHTAG]#Ushauri[/HASHTAG]
Huyo mkeo mshikilie huyo huyo usimwache mwanamke kama huyo ni nadra sana kumpata namaanisha anahamasisha ujisikie kuendelea na tendo usijidanganye kutafuta mchepuko utakuja kujuta milele endelea na huyo huyo ulienae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshakaa na mkeo na kuzungumza naye?kama bado,wewe ni mpuuzi!nonsense!
 
Back
Top Bottom