Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
kama walivokukula wewe aku
Ntavaa kaptula yake na shati sifungi vishikizo![]()
![]()
Jitahidi upate mume bonge, ukipata slim kama sisi tatizo linakua pale pale.

Aisee, mpaka nimejikuta natamani kushuhudia utakavyokua umetokelezeaNtavaa kaptula yake na shati sifungi vishikizo![]()
alafu huo mtoko plus ile miguu iliyokua kwenye avatar uliyotoa sipati picha kwakweli

Ntapiga picha nikutumie pm usijali kabisaAisee, mpaka nimejikuta natamani kushuhudia utakavyokua umetokelezea![]()
alafu huo mtoko plus ile miguu iliyokua kwenye avatar uliyotoa sipati picha kwakweli
![]()
![]()
mh hata matendo yake tu,anapenda kuwa na mimi kwenye raha ila shida nahisi atanikimbia,sometimes kama tunatembea naweza kumwambia naomba nishikie kitu flani mara moja,anakua hataki anakunja uso, au hata tumsaada tudogo dogo (sio hela) labda akiwa anatoka sehemu nkimwagiza apitie na kitu fulani anakataa,the little things he does ndo nanotice
hapana mkuu,kuna mengine madogo dogo siajayasema tuSo hiyo ndio sababu ya kumuacha? Sema ukweli tu hukumpenda na ulikuwa unatafuta sababu mkuu!
Kawaida sana mambo hayo mbona...mh hata matendo yake tu,anapenda kuwa na mimi kwenye raha ila shida nahisi atanikimbia,sometimes kama tunatembea naweza kumwambia naomba nishikie kitu flani mara moja,anakua hataki anakunja uso, au hata tumsaada tudogo dogo (sio hela) labda akiwa anatoka sehemu nkimwagiza apitie na kitu fulani anakataa,the little things he does ndo nanotice
poa
hahahaTupa kule upesi sana
Urudi kwa wazazi wao.ndio waliokumimba?
Mpige kwenzi kwa niaba yangu....
hapana mkuu,kuna mengine madogo dogo siajayasema tu
Na mm pichaNtapiga picha nikutumie pm usijali kabisa
Kila laheri katika kumpata huyo mwanaume malaya..................maneno huumbaheri niwe na mwanaume malaya
Hahahaha sawaNtapiga picha nikutumie pm usijali kabisa
Mpenzi wangu kaniambia nkishika mimba atanirudisha home mana ye hawezi ule usumbufu wa mama mjamzito. Nimeishiwa pozi hapa nataka nimuache kimya kimya,si kwa unyanyapaa huo.
NB: Hakuniambia direct ila katika kupiga story kuhusu mambo wanayofanya wajawazito ndo akasema hivyo "kwa kweli nawe ukileta hayo mambo ya ajabu nakurudisha tu kwenu ukijifungua ndo nakuchukua"
Kwahiyo raha tule wote shida ukawape wazazi wangu, heri niwe na mwanaume malaya lakini akifika home ananijali na anajua wajibu wake kama baba.
Sometimes the little things we do matter a lot, sio hela tu au kutiana tu.
Just saying!