Recent content by kibo mawenzi kilimanjaro

  1. K

    Udadavuzi huru: Kuna ukakasi kwenye Taarifa ya Polisi juu ukamatwaji wa nondo, ama Nondo au Polisi kuna muongo

    Wamemwachia baada wazee wa kigoma kusema waliomteka mtoto wetu mmemteka ila kitakacho wakuta tusilaumiane .na unajua kigoma wanapenda mambo ya ndumba uchawi mwingi
  2. K

    Dkt. Stephano Reuben Moshi: Askofu Mkuu wa Kwanza KKKT Tanzania

    Hapo ni kanisa LA komakundi Stefano moshi walikuwa wanasali na bibi yangu ruwaichi mmbando kanisa LA ashira kanisa LA kwanza marangu kabla ya kugawanyika usharika was mamba na kanisa LA kwanza kulijenga mamba n kotela lile dogo LA mawe bb yangu alizaliwa 1893 na kufariki 2016 akiwa na miaka 123...
  3. K

    Magari ambayo unaweza kuendesha miaka 15 bila shida kubwa

    Discover old model, nisan safari. Nisan patrol land crusel hard top
  4. K

    Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

    Mkuu mm in mkristo ila hata makanisa ya kilokole ni kero we fikiria wanavyopiga mziki usiku kucha huoni kwamba ni kero. Mfano hapa napokaa kuna kanisa LA kilokole wanapiga mziki na maombi mpaka wanakesha wamekuwa kero
  5. K

    Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

    Ni sahihi mkuu Ni sahihi mkuu m mwenyewe n mchaga sema uislamu naujua sababu nimejichanganya nao kitambo sana ndo mana nawakubali sana hata kwenye cm yangu nimeweka nyimbo za kaswida na kwaya. Ila ukienda kule kwetu uchagani huwez kukuta uislamu hata misikiti..makanisa n mengi sana kila...
  6. K

    Waliooa wahudumu wa bar waje hapa kutoa ushuhuda

    Mku wa marangu mbona mm nilimzimia mhudumu pale kwa hosea mpaka leo n mke wangu na nimezaa nae watoto wa tatu. N maisha tu ndo yanawafanya kuwa barmed ila marangu ni pazuri sana has a mademu wa kuja wakifika marangu nawaona kama wapo uzunguni hawatamani kurudi hata kwao mkuu
  7. K

    Nifanyeje ili mbwa wangu wawe wakali?

    Wafungie kwenye chumba hakina mwanga tafuta bangi weka kwenye kifuu kisha washa wakiwa ndani ya hiko chumba. Utakuja kunishukuru
  8. K

    Taja sifa moja unayoijua kuhusu Haruna Moshi Boban Mawela

    Alimiss cha arusha ndo mana alirudi Bongo nyoso
  9. K

    Kwanini watu wanachukia sana Ugali. Kwani ugali una kosa gani jamani?, Wanasayansi njoeni basi mtupe Elimu

    Ss Africa tuna nn zaidi ya siasa zetu za maji taka na uchu wa madaraka +ubunifu zero akili za ovyo kutaka kumtawala maskini hata kidogo alicho nacho unataka kumnyang'anya
  10. K

    Kwanini watu wanachukia sana Ugali. Kwani ugali una kosa gani jamani?, Wanasayansi njoeni basi mtupe Elimu

    Ugali unadumaza akili ndo mana Africa hatunaga akili. Je akili ni nn? ukitoa kile ulichofundishwa kinachobaki kichwani mwako ndo akili. Ndo mana hatuna ubunifu kama wazungu kila kitu tunasubiri wazungu wabuni kisha na ss tutumie. Mfano kadhaa ni cm, gari, meli, ndege, na vitu vngine kibao
  11. K

    Ukweli ni kwamba Billnass ni chaguo la pili la Nandy baada ya Ruge Mutahaba kufariki

    Hata mkeo au demu wako alikuwa hvyo kwa wanaume wengine kabla ya kumpata waliomgalagaza n wengi hawana idadi
Back
Top Bottom