Recent content by KIBITI BOYZ

  1. KIBITI BOYZ

    NGWETA dawa ya nguvu za kiume malipo ni baada ya kupona

    HAAAAAAAA MKUU HABARI YA MKUYUNI? TAWA, MATOMBO, BWAKIRA JUU, MVUHA, KISAKI.....KINOLE......KWA WALUGULU Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
  2. KIBITI BOYZ

    Je maombi ya mkopo wa elimu ya juu yamefunguliwa 2017/2018?

    Ndo utaratibu unaojulikana toka kitambo unaomba kabla ya matokeo
  3. KIBITI BOYZ

    Je maombi ya mkopo wa elimu ya juu yamefunguliwa 2017/2018?

    Hapa mkuu nimetoka tu maeneo hivi ndo nikasema ngoja niwaulize greater thinker nini kinaendelea hadi sasa maana maombi kwa kawaida huanza kufanyi wiki chache tu toka kidato cha sita wahitu na huwa haihusiani na matokeo ya kidato cha sita.
  4. KIBITI BOYZ

    Je maombi ya mkopo wa elimu ya juu yamefunguliwa 2017/2018?

    Sijakuta lolote kuhusu maombi mwaka huu
  5. KIBITI BOYZ

    Je maombi ya mkopo wa elimu ya juu yamefunguliwa 2017/2018?

    Habari ndugu watanzania...! Naomba kuuliza hivi bodi ya mikopo kwa wanafunzi kidato cha 6 mwaka huu yameshaanza??? Tupo vijijini hatui nini kinaendelea helb. Asante
  6. KIBITI BOYZ

    Je maombi ya mkopo wa elimu ya juu yamefunguliwa 2017/2018?

    Habari wadau wa Elimu Tanzania? Naomba kuuliza maombi ya mkopo kwa wanafunzi elimu ya juu yameshafunguliwa na HELB kwa mwaka huu 2017? Asante, nawasilisha.
  7. KIBITI BOYZ

    Maajabu ya mapacha walioungana

    Mungu ni mkubwa
  8. KIBITI BOYZ

    Tukio ambalo sitoweza kulisahau daima

    asanteni sanaaaaaaaaa ndugu kwa michango na pole zenu pia pole kwa wenzangu waliopatwa na mikasa mbali mbali. Huenda watu hawajawai kutana na mnyama kama huyu ikumbukwe siku hiyo tulikuwa tumelala japo sio usingizi fofofo na hao simba walivamia yaan ambush hivyo hakuna aliyejiandaa au kutaka...
  9. KIBITI BOYZ

    Tukio ambalo sitoweza kulisahau daima

    HESHIMA KWENU WANAJUKWAA. Mnamo mwaka 2000 mwezi February tukiwa shamba kwa kilimo cha mpunga katika wilaya ya Kilombero(Ifakara) maeneo ya Mchombe mashambani sehemu inayoitwa Simbagungile tulivamiwa na simba majira ya saa 6 kasoro. Nyumba ilikuwa ya chini yaani imejengwa kwa miti tu na...
  10. KIBITI BOYZ

    Madereva wa Masafa marefu: Changamoto mbalimbali tunazokutana nazo barabarani Usiku

    yeah huko niko vizuri saaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaaaa mkuu
  11. KIBITI BOYZ

    Madereva wa Masafa marefu: Changamoto mbalimbali tunazokutana nazo barabarani Usiku

    ifakara, ,mbingu, mngeta,chita,mlimba c mchezooooooooo
  12. KIBITI BOYZ

    MAADHIMISHO SOKOINE DAY CHUONI SUA

    Habari Tanzania....... Leo ni kilele cha maadhimisho ya hayati waziri mkuu Edward Moringe Sokoine hapa chuoni SUA, ambapo maadhisho hayo yalianza mnamo tarehe 11 na leo ndo kilele cha siku ya kumbukumbu ya kifo chake hayati Sokoine. Na mgeni rasmi ni waziri wa kilimo mh. Charles Tizeba ...
  13. KIBITI BOYZ

    Je wajua

    tumevamiwa
Back
Top Bottom