Team Chemistry tunaitumia kote kote... kwenye mpira wa miguu na wwakikapu na kote kote hata kwenye jamiii... we talk abt Team Chemistry ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah... nakumbuka nilikuwa nikinunua kachori nakimbia kwenda kujificha kwenye Korongo. ili wenzangu wasiniombe.. siku moja nilikimbilia kule kumbe sikujua kulikuwa na madondola ya linipiga sindano za uso , Aise niliumuka sasa kama maandazi yaliyowekwa Amira
Sent using Jamii Forums mobile app
hongereni sana , Tanesco kwa kuboresha miundo mbinu ya umeme ikiwa pamoja na kutupatia huduma nzuri ..ila naomba kuuliza kuhusu ukatika ji wa umeme kwa mwezi huu wa March je? bado mnafanya matengenezo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.