Tukubali tukatae, CCM ni bonge la Chama

Tukubali tukatae, CCM ni bonge la Chama

Kila nikihangaza Tanzania, Rwanda, Kenya, Uganda ,Burundi, Msumbiji hata nchi nyingine za karibu sioni chama kama CCM
Watu ukosea na kuilinganisha CCM vyama vya uchochoroni
Kama Chadema, Au TLP, mnakosea sana maana CCM yapaswa kulinganishwa na vyama tawala vingine siyo vyama tawalwa,

Kwanini CCM ni Chama imara na chama chenye kuleta matumani kwa watanzania na wasio watanzania

1. Mfumo wa uendeshaji wa chama unaeleweka,

2. Muda wa uongozi wa mwenyekiti uko wazi kabisa

3. Ni chama pekee ambacho ubadirika kulingana na hali na mazingira, rejea kumpata Magufuli, na komtema Lowassa

4. Chama pekee ambacho kimesheheni watu wenye uwezo wa kuwa marais wa nchi hii zaid ya 50,

5. Kimesheheni wazee wenye busara na mipango sawa sawia

6. CCM inajipambanua katika kuufuta umasikini ulioachwa na mkoloni

7. CCM inaheshim, matumizi ya pesa zozote zile, hakuna mtu mmoja wa kutembea nazo mkononi

8. Huwezi kuikopesha CCM kutoka hela zako za mfukoni bila utaratibu

9.CCM imeasisiwa na baba wa bara la Afrika mwalimu JK Nyerere,

10. CCM ndo chama pekee kisichowaziba watu mdomo kwa kukosoana ndani kwa ndani, vyama vingine wenyeviti wana machungu mpaka wanapanda mezani wakati wa vikao kisa wamekosolewa,

Hii ndo CCM
Chama gani cha siasa duniani umekiona kutumia nguvu kubwa ya Pesa na askari kuvuruga upinzani. Ni mjinga tu ndio anaweza kuvuruga upinzani kwa Pesa. Upinzani huvurugwa kwa hoja, na kuwaletea wananchi maendeleo.
Tatizo la Tanzania sio Upinzani au vyama vya siasa. Tatizo linaloliangamiza Tanzania ni watanzania wenyewe kuwa mpaka sasa wamelala kama wamekufa hawajui wajibu wao kwa nchi yao. Yote yanachangiwa umasikini na ujinga. Unasikititisha sana kuona hadi sasa kuna watanzania ambao bado wako tayari kuwalinda watawala ambao ndio wanaofaidi Cake ya nchii kwa Ufisadi, alimradi mwisho wa mwezi apewe Buku 7 au upande wa Tenge.
 
Kila nikihangaza Tanzania, Rwanda, Kenya, Uganda ,Burundi, Msumbiji hata nchi nyingine za karibu sioni chama kama CCM
Watu ukosea na kuilinganisha CCM vyama vya uchochoroni
Kama Chadema, Au TLP, mnakosea sana maana CCM yapaswa kulinganishwa na vyama tawala vingine siyo vyama tawalwa,

Kwanini CCM ni Chama imara na chama chenye kuleta matumani kwa watanzania na wasio watanzania

1. Mfumo wa uendeshaji wa chama unaeleweka,

2. Muda wa uongozi wa mwenyekiti uko wazi kabisa

3. Ni chama pekee ambacho ubadirika kulingana na hali na mazingira, rejea kumpata Magufuli, na komtema Lowassa

4. Chama pekee ambacho kimesheheni watu wenye uwezo wa kuwa marais wa nchi hii zaid ya 50,

5. Kimesheheni wazee wenye busara na mipango sawa sawia

6. CCM inajipambanua katika kuufuta umasikini ulioachwa na mkoloni

7. CCM inaheshim, matumizi ya pesa zozote zile, hakuna mtu mmoja wa kutembea nazo mkononi

8. Huwezi kuikopesha CCM kutoka hela zako za mfukoni bila utaratibu

9.CCM imeasisiwa na baba wa bara la Afrika mwalimu JK Nyerere,

10. CCM ndo chama pekee kisichowaziba watu mdomo kwa kukosoana ndani kwa ndani, vyama vingine wenyeviti wana machungu mpaka wanapanda mezani wakati wa vikao kisa wamekosolewa,

Hii ndo CCM
Huo ndio ukweli kabisa wepende wasipende,rasilimali zao zinaeleweka bwana.hao wengine wanahangaika tu.Matokeo yake mtu akihama hadi nyaraka anahama nazo,sasa huu si uzwazwa.
 
Kila nikihangaza Tanzania, Rwanda, Kenya, Uganda ,Burundi, Msumbiji hata nchi nyingine za karibu sioni chama kama CCM
Watu ukosea na kuilinganisha CCM vyama vya uchochoroni
Kama Chadema, Au TLP, mnakosea sana maana CCM yapaswa kulinganishwa na vyama tawala vingine siyo vyama tawalwa,

Kwanini CCM ni Chama imara na chama chenye kuleta matumani kwa watanzania na wasio watanzania

1. Mfumo wa uendeshaji wa chama unaeleweka,

2. Muda wa uongozi wa mwenyekiti uko wazi kabisa

3. Ni chama pekee ambacho ubadirika kulingana na hali na mazingira, rejea kumpata Magufuli, na komtema Lowassa

4. Chama pekee ambacho kimesheheni watu wenye uwezo wa kuwa marais wa nchi hii zaid ya 50,

5. Kimesheheni wazee wenye busara na mipango sawa sawia

6. CCM inajipambanua katika kuufuta umasikini ulioachwa na mkoloni

7. CCM inaheshim, matumizi ya pesa zozote zile, hakuna mtu mmoja wa kutembea nazo mkononi

8. Huwezi kuikopesha CCM kutoka hela zako za mfukoni bila utaratibu

9.CCM imeasisiwa na baba wa bara la Afrika mwalimu JK Nyerere,

10. CCM ndo chama pekee kisichowaziba watu mdomo kwa kukosoana ndani kwa ndani, vyama vingine wenyeviti wana machungu mpaka wanapanda mezani wakati wa vikao kisa wamekosolewa,

Hii ndo CCM
Na kweli busara za kuua upinzani ahaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wasiokubali bado eheeee.😂😂😂😂😂😂😬😬😬😬😬😤😤😤
 
CCM kama chama kilishakufa muda mrefu tu.

Kwa sasa wanaojiita wanaCCM wanabebwa na nguvu ya Rais ( Dola ).

CCM haina nguvu wala ushawishi wowote wa hiari kwa watu bila kutumia nguvu ya UHAMIAJI, TRA, JWTZ, TISS, TAKUKURU, NEC, MSAJILI, RITA na Pesa.
 
Unaongelea CCM ipi? Maana Kuna ccm tunayoijua halafu Kuna hii ya Kina pole pole na bashiru wazee wa Kununua watu... CCM hii inayoishi kwa nguvu za dola ni suala la muda tu labda kina Nape warudishe chama kwa wanachama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom