Recent content by Kiberenge

  1. Kiberenge

    Nauza hii ShowCase

    Showcase ilo sokoni hii kwa wale wauza simu na bidhaa zake inawafaa zaidi au hata kama hufanyi hiyo biashara ila unaona inakufaa pia unakaribishwa.... Bei ni 235,000 Ipo Sinza madukani Mawasiliano 0718905208
  2. Kiberenge

    Msaada jamani hospital gani nzuri kwa watoto hapa dar?

    Gharama za kumona DR Koya bado ni bure?
  3. Kiberenge

    Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

    Kama huna cha kuandika uwe unauchuna... Unajichoresha dogo
  4. Kiberenge

    Jinsi Ya Kupokea/ku-withdraw Pesa Kutoka Upwork Au Fiverr (Beginners Freelancing Guide)

    Wise ndio mkombozi wa hii kitu.. Join hapa nikupe maelezo You’ve been invited to Wise – Join and get a discount.
  5. Kiberenge

    UpWork Freelancing: Kama wewe ni kijana ambae huna kazi pita hapa

    Mkuu ile huduma ya exchange ya paypal bado unayo? Nina fund paypal i need cash
  6. Kiberenge

    Wallpaper ya Simu yako ikoje?

    Haya shusha wallpapers zako kali hapa, mimi naanza na hizi....
  7. Kiberenge

    Kwanini Graphics Designer Wanashindwa Kutengeneza Pesa?

    Cha kwanza ni creativity yako wewe mwenyewe Mtoa huduma maana kuna wengine skrill ziko below sana na pili ni jinsi ya kubargain malipo na mteja, hapa ndio pakubwa wanapofeli...
  8. Kiberenge

    NFT's project

    Wazee wa commission hadi huku mpo
  9. Kiberenge

    Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

    Pole sana Madam Sophy bila shaka wewe ni mwanamke mwelevu sana hiyo hali unayoipitia sasa ni ya mpito tu InshaAllah baada ya muda utamsahau na ku move On.
  10. Kiberenge

    Hili la Okrah na Dejan, Juma Ulifanyie Kazi

    Mdhungu anajua huyoooo [emoji23][emoji23]
  11. Kiberenge

    Msaada wazee wa mikeka: kulink VISA card na online betting companies

    Mkuu ni kweli ila solution ni kutumia Prepaid card... Mie natumia ya UBA Bank now inafanya kazi fresh
Back
Top Bottom