Recent content by kibaye

  1. K

    Kama ni kweli na ushahidi upo....

    Mchungaji ni yule anaye chunga kondoo wake wasipotee sio yule sio yule akiona jambo kwenye magazeti au kwenye mitandao ya kijamii ndio yanakua mahubiri yake.inshu ni madawa ya kulevya sio vyeti vya MTU .tuache kupotosha. Sent from my itel_it1502 using JamiiForums mobile app
  2. K

    Sheikh Khalifa aijibu JamiiForums, asema UKWELI sio UCHOCHEZI

    Waislam ni wengi wamesoma na kama hauamin umba mdahalo na huyo shekhe khalifa kama hauto kaa na kusoma quruan hiyo ni elimu pana sana ni sawa na mapro wenu acha kuwadhalau waislam lazma tudai haki zetu bila kuogopa MTU
  3. K

    Zitto: CCM imechanganyikiwa

    Nilijua wanachadema wangeponda na niljua wana ccm wangeponda hotoba nzuri kama hii.ila wangeambiwa tumebadilishia gia angani wangeshangilia. Pia wangeambiwa tumebadilishia gia ya ukuta baharini wangeshangilia.
  4. K

    Iniesta na gaucho, Nani zaidi?

    Kucheza kwa muda mrefu sio kigezo cha ubora wako kwamfano beckam amecheza kwa kipindi kirefu tuseme alimzidi zizu. Acheni masiara Gaucho kiumbe kingine kwenye mambo ya mpira
  5. K

    Mbona ACT-Wazalendo hawavamiwi na polisi katika kikao chao kinachoendelea hivi sasa?

    Act. Nichama kinachoongozwa na viongoz wenye weledi mkubwa hakiongozwi na viongozi wenye mihemuko na waroho wa madaraka
  6. K

    Inawezekana hiki ni kiashiria kwamba uchumi wa Lowassa umetikisika?

    Pesa alizotuibia acha hizo man
  7. K

    Sumaye arudisha fomu ya kuwania Uenyekiti kanda ya Pwani

    Tunakopi ya ccm ya kuchukuliana from mbowe ajiandae wapenda madaraka wanaanza kutengeneza mazingira.
  8. K

    CHADEMA na Zitto Kabwe tuondoe tofauti zetu kwa Manufaa ya Watanzania wote

    Zito hawezi kurud chadema chama ambacho hakina dira na mikakati misingi ya chama imetupwa kwenye mafuriko .Act wazalendo ndio chama kimebaki na misingi yake na Dira ya chama inajulikana .mipasho, uzushi upambe sio siasa za zito kabwe.kamwe haiwezekani.
  9. K

    Zitto: Rais ni mbaguzi, simple and clear

    Zito uko sawa lazma serekali iwe makini kwenye uteuzi wake sio uteuzi wa kuabishana
  10. K

    Zitto, mshika mbili moja humponyoka

    Hamumuoni aliyesema amebadilshia angani ndio hajitambui na sasa chombo chake cha usafir kimeanza kutoa moshi na angani Hanna gerej.
Back
Top Bottom