Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,524
- 217,787
Katiba ya Tanzania inadokeza kwamba mtu yeyote anakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa , pamoja na mambo mengine baada ya kukabidhiwa kadi ya chama kingine .Safu yote ni ccm tupu, sasa hapo kuna mbinu gani sasa kama mnajiita wana mabadiliko? CCM B katika ubora wao