Kwa zaidi ya miaka 15?... Zitto unatumia kalenda gani... Ubunge umeanza 2005... Mpaka 2010... 2010 mpaka 2015.... Uchaguzi umefanyika 2015 October... Sasa hivi 2016 sasa hiyo zaidi ya 15 inatoka wapi.... Lengo kumdanganya mgeni wako kutoka KenyaZitto ambaye amekuwa mbunge kwa zaidi ya miaka 15,
Huyu ni nyonga au ndege hili swali bado hajajibu.
Sielewi anaongea nini.Pumba tu. Maelezo yake hayana msingi wa kuutegemea. Ni blahblah tu. Wanasiasa wa msimuHuyu ni nyonga au ndege hili swali bado hajajibu.
Afande Sele amesema viongozi wa ACT ni "Popo" si wanyama si ndege.Yaani Ni wanafiki balaa.Zitto ni kigeugeu sana toka atoke kwenye chama makini CHADEMA ni wazi kwamba amekosa mwelekeo. Mara amsifie kwamba ndiye raisi Tz ilikua inamhitaji, mara asingizie bei za ndege, mara amtukane na akimtukana mkulu hachukuliwi hatua yeyote, ila atukane lissu sasa, mh atafatwa kwa magari tokea singida mpaka dar kuja kuhojiwa. Ni wazi zitto anatumiwa na CCM kwahiyo uyu jamaa ni wa kupuuzwa tu.
UHURU linafaa hata kufungia maandazi?Hujaacha kusoma magazeti ya kufungia vitumbua?
Siyo umaarufu hiyo ndiyo kazi yake lazima aipende.Zitto anatafuta umaarufu kwa njia ambayo kwakweli mimi naona anabugi,yaani amechelewa sana.lakini namtakia kila lakheri katika mikakati yake hiyo ya kusaka wafuasi.