Recent content by KIARAKA

  1. K

    Mkandarasi achota 3bn advance akimbia! Alipewa kujenga km 26 za lami wakati hana ujuzi wowote...

    Hii habari iko sawa. Kwa ujumla taarifa ni sawa. Ilisimamiwa vizuri na EMPLOYER. Hakuna bahati mbaya, kila kitu kilipangwa vyema, sema tu jamaa waliwazidi ujanja baada ya kukamua advance. Nchi walizotuma wakaguzi ni MALAWI na SUDAN. Kuna kitu sielewi, hili jambo liko wazi mno. Mnataka...
  2. K

    Mama mkwe ana mwezi hana dalili ya kuondoka, chumba kimoja, nimemmisi mume wangu

    Ndo maana niliuliza kabila. Hao jamaa wenye tochi kwenye paji la uso ni wa kuogopwa.
  3. K

    Mama mkwe ana mwezi hana dalili ya kuondoka, chumba kimoja, nimemmisi mume wangu

    Mkiniambia nyie kabila gani nitawashauri. Maana yako makabila hayana staha. Hivi mtu unahama nyumbani kwako kumpisha mtu ambaye ana home kwake na kapakimbia? Msijifanye wenye huruma... huo ni ujinga na kujinajisi.. ona sasa mnavyohangaika. Kama ndo mara yake ya kwanza kulalia godoro huyo mnaye.
  4. K

    Mama mkwe ana mwezi hana dalili ya kuondoka, chumba kimoja, nimemmisi mume wangu

    Naomba nishauri japo hata sijasoma wengine wamesemaje...Kosa ni lao wanandoa. Unawezaje kumpisha mama mkwe/mama mzazi alale mahali mnapotafutia watoto...!? Aibu iwe juu yenu.. kweli kabisa. Kumbe angekuja baba wa binti naye mngempisha.. ondoeni aibu hapa Haya mambo hayasemeki. Mlitakiwa...
  5. K

    RAV 4 Yateketea kwa moto Salender Bridge

    Wabongo bwana.. wewe wape tu kichwa cha habari,.. habari yenyewe wanabuni tu. Mfano; kuna gari imeungua moto pale salender. Hapo umemaliza.... watakupa stori A to Z.
  6. K

    RAV 4 Yateketea kwa moto Salender Bridge

    Mpeni pole. Mikopo hii... du!
  7. K

    Rais wa Gambia atangaza nchi yake kuwa dola ya Kiislamu!

    Umenigusa. Dawa ni kitofatilia mambo yao. Yaani hata kama mtu kasoma vipi, ila kama alishawahi andika kutoka kulia kwenda kushoto.... anakuwa wa tofauti sana.
  8. K

    Chritopher Ole Sendeka, alijikuta akilia hadharani akitetea upigaji kura ya wazi

    Akili mmeziacha wapi? Ukiwa mbunge wa CCM kuna jambo linaenda kombo akilini.. Hili ni swala la kitaifa na si chama. Mkoje nyie.? Siwapendi kama nini....
  9. K

    VIGOGO wa Wakala wa Majengo (TBA) wahukumiwa kifungo

    Mie siwaelewi hakika. Kiwanja mali ya Uma. Mwekezaji kawekwa na Uma. Hakimu wa Uma. Kibali cha ujenzi kimetolewa na Uma. Notice ya kusimamisha ujenzi wakati kesi iko mahakamani imetolewa na Uma. Umeme umefungwa na Uma. Kila kitu kimebarikiwa na kuhalalishwa na Uma. Unajua muache utoto... hivi...
  10. K

    Mtei: Zitto Hahitajiki ndani ya CHADEMA, Uamuzi wa Kamati Kuu ni wa Mwisho!

    Mbona mwaropoka sana. Hapa hatuongelei ndoa za watu.. hata kama ndivyo kuna dhambi gani.
  11. K

    Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

    Yaonekana wengi wenu ni wageni na Tz.. Yatapita shwari na hao wahanga wataitikia hoyeeee... kila itajwapo CCM. There is nothing bad as little knowledge.
  12. K

    Kumbe Jamal Malinzi ni Mdogo Wake Dionis Malinzi. Duuh

    Hujaona wazuri wewe. Au hiyo exhaust ya kamasi?
Back
Top Bottom