Tatizo wee ni ziro,na siku zote ziro ikibadilika sana sana huwa oo,,,,,msigwa alikuwa anamnanga magufuli live kuwa KAMA UKICHAGUA UPINZANI HUPATI MAENDELEO,MBONA IRINGA WAMEMCHAGUA MPINZANI NA WAMEPATA MAENDELEO?maana yake,asante mheshimiwa rais maneno unayosema mjifunze kuchagua hayana ukweli...
Ni huko afrika ya mashariki katika nchi ya TZ, ambapo msanii aliyeimba wimbo wenye fumbo tata (kibamia)amefungiwa pamoja na wimbo wake kuzuiwa kwa kukosa maadili lakini msanii WEMA sepetu amecheza au AMETUPIA video ya UCHI lakini si waziri shonza wala mwakyembe wala BASATA walioliona...
Acha trump awaite alivyowaita,kama huelewi alichoongea UHURU na ODINGA,na kama huoni tofauti ya makutano yao basi wewe ni ZWAZWA,kama u mvulana wewe ni waleee,,,,,,, kwa ufupi tu baada ya mkutano UHURU kasemaje kuhusu MAANDAMANO,na MAGU alisemaje baada ya MAKUTANO?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.