Rais Magufuli awaambia wananchi wa Morogoro wajifunze kuchagua

Mh.Rais kasimamishwa na watu wakati akielekea ziarani Morogoro, wananchi hao wamemsimamisha huku wakiwa na mabango yanayoonyesha mahitaji na matatizo yao, miongon mwa kero ni kutosajiliwa kwa shule ya kijiji ambayo ipo darasa la tano.

Katika kujibu kero zao ametoa kiasi cha milioni tatu na kuagiza shule isajiliwe ikiwezekana mwezi huu.

Katika hali ya kushangaza Mh.Rais wakati akijibu swala la umeme kwanza ameuliza mbunge wa eneo husika na baada ya kujibiwa kuwa ni mpinzani.' naye kawajibu ''Mjifunze kuchagua'' Magufuli

Zile kauli za maendeleo hayana vyama zinakuwa na maana gani!??
Huu ni upuuzi wa hali ya juu. Mbunge anapewa fungu gani la kutumia kutatua matatizo yote ya wananchi. Bure kabisa!
 
Mh.Rais kasimamishwa na watu wakati akielekea ziarani Morogoro, wananchi hao wamemsimamisha huku wakiwa na mabango yanayoonyesha mahitaji na matatizo yao, miongon mwa kero ni kutosajiliwa kwa shule ya kijiji ambayo ipo darasa la tano.

Katika kujibu kero zao ametoa kiasi cha milioni tatu na kuagiza shule isajiliwe ikiwezekana mwezi huu.

Katika hali ya kushangaza Mh.Rais wakati akijibu swala la umeme kwanza ameuliza mbunge wa eneo husika na baada ya kujibiwa kuwa ni mpinzani.' naye kawajibu ''Mjifunze kuchagua'' Magufuli

Zile kauli za maendeleo hayana vyama zinakuwa na maana gani!??
Unafiki
 
Uwa nikiona na kusoma mambo ya namna hii moyo wangu unakuwa na uchungu sana na Taifa langu...ipo siku
 
Hii nchi ingekua inawezekana wazee wote walioanza uongozi kipindi cha Nyerere watolewe kwenye uongozi. Mana wana mawazo mgando hawataki kubadilika kulingana na mifumo ya dunia inavyobadilika.
Ndo mana unakuta hata kwenye vyama vingi hawataki sema wanaogopa tu kukosa misaada ya bajeti. Wanajua wakikosa misaada ya bajeti watakosa hela za kuiba.
 
Hapohapo unamsikia mchungaji msigwa anakwambia raisi wetu hapendelei vyama...hapo ndo utagundua wapinzani wa Tanzania ukiondoa wachache sana wana matatizo ya akili tena matatizo ya akili makubwa sana
Tatizo wee ni ziro,na siku zote ziro ikibadilika sana sana huwa oo,,,,,msigwa alikuwa anamnanga magufuli live kuwa KAMA UKICHAGUA UPINZANI HUPATI MAENDELEO,MBONA IRINGA WAMEMCHAGUA MPINZANI NA WAMEPATA MAENDELEO?maana yake,asante mheshimiwa rais maneno unayosema mjifunze kuchagua hayana ukweli ndio maana hata iringa imeendelea pamoja na kuwa upinzani,,,
 
Mh.Rais kasimamishwa na watu wakati akielekea ziarani Morogoro, wananchi hao wamemsimamisha huku wakiwa na mabango yanayoonyesha mahitaji na matatizo yao, miongon mwa kero ni kutosajiliwa kwa shule ya kijiji ambayo ipo darasa la tano.

Katika kujibu kero zao ametoa kiasi cha milioni tatu na kuagiza shule isajiliwe ikiwezekana mwezi huu.

Katika hali ya kushangaza Mh.Rais wakati akijibu swala la umeme kwanza ameuliza mbunge wa eneo husika na baada ya kujibiwa kuwa ni mpinzani.' naye kawajibu ''Mjifunze kuchagua'' Magufuli

Zile kauli za maendeleo hayana vyama zinakuwa na maana gani!??
Majimbo ya upinzani yananekana kama yapo sudan aisee, akitoka hapo utasikia maendeleo hayana vyama, kama ni hivyo majimbo ya upinzani wananchi wasikatwe kodi, kodi mnakata maendeleo uanawnda chattle
 
Katika nchi yetu karibu majimbo yote yanamatatizo na katika majimbo hayo mengi yanaoongozwa na CCM lakini kwa nini mh Rais anapokutana na matatizo katika majimbo yanayoongozwa na wabunge wa CCM hawapigi vijembe wananchi isipokuwa katika majimbo yanayoongozwa na wapinzani?.

Utafikri wanafanya makusudi kutokutatua shida Katika majimbo yanayoongozwa na wapinzani ili mh Rais akapate sababu ya kuwapiga wananchi vijembe na kuwaona wapinzani ni watu wasiyofaa.
 
Amesema wajifunze kuchagua wabunge wanaofaa sio kila mtu anafaa, hajataja vyama.
kwa hiyo unadhani angeambiwa ni yule dr feki mlinga angewajibu hivo huyu ndo anapasua hii nchi kina mnyeti sijui gambo bashite ni takataka tuuu
 
Fedha anazo gawa njiani uwa ni zamfukoni kwake? Au na ndio maana 1.5T aikuonekana matumizi yake kisa kugawa fedha njiani
 
Hivi huyu tilatila anafikri yeye tulichagua sahihi kama nilimchagua?
 
Back
Top Bottom