Recent content by kiagata

  1. kiagata

    Mimi si Mwanasiasa, ila kwenye hili la Tozo hapana

    Ngoja inyeshe tuone panapovuja, Maana Mama anapiga kwenye mshono.
  2. kiagata

    Rais Magufuli, ni wakati muafaka "Ikulu" irudishwe kwa wenyewe, Waislam

    KWA TAARIFA YAKO IKIFIKA WAKATI WA KURUDISHA MALI ZA DINI/MADHEHEBU UTASHANGAA HATA CHUO KIKUU CHA WAISLAMU KILICHOPO MOROGORO SISI TUSIOWAISLAMU TUTAKITAKA, UNAANGALIA BORITI AU KIBANZI KWENYE JICHO LA MWENZIO?. TULIA
  3. kiagata

    Rais Magufuli, ni wakati muafaka "Ikulu" irudishwe kwa wenyewe, Waislam

    Jengo la waislamu kwani ikulu ni msikiti?.
  4. kiagata

    Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

    Kwa staili hii tusitegemee badiliko lolote hata katika uchaguzi ujao yaani watu wanafunika kombe upinzani utaibuka huenda baada ya 2020 maana kila mmoja anaogopa.
  5. kiagata

    Rais Magufuli, ni wakati muafaka "Ikulu" irudishwe kwa wenyewe, Waislam

    Tatizo hutaki kuruhusu akili yako ifanye kazi, unashindwa kujua uislam ni nini na mwarabu ni nani.
  6. kiagata

    Dhumuni la chapa "666"

    Zitto Junior upo vizuri, nilichogundua watu wanachanganya ufunuo wa Biblia na maoni ya wanafilosofia.
  7. kiagata

    Kitabu cha maisha ya Sheikh Sayyid Omar Abdallah (Mwinyi Baraka)

    Utaratibu gani ufanyike ili na sisi wa Mikoa ya mbali tuweze kukipata?.
  8. kiagata

    Prof. Lipumba: ACT-Wazalendo imeongeza damu yenye virusi ikidhani ni damu salama

    Kwa vituko na visa vya wanasiasa wa Tanzania, upinzani kuchukua nchi wanahitaji zaidi ya miujiza.
  9. kiagata

    Prof. Lipumba: ACT-Wazalendo imeongeza damu yenye virusi ikidhani ni damu salama

    Kuhama kwa Maalim Seif sijui kama itahusiana na hoja za uamsho kujiusisha na siasa za imani kali, wale mashek wakitoka ndiyo nitajua kabla ya kuchafua hewa lazima ujue feni inafanya kazi.
  10. kiagata

    Mali za Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku(Musukuma) kupigwa mnada

    Mtumishi wa umma hutakiwa kuwa na madeni ya aibu hivyo, yaani M/Kiti wa chama tawala?. very shame.
  11. kiagata

    Nina maumivu Makali na chuki mbaya

    Siasa ni mchezo mchafu na huyu jamaa ni mchafu kweli kweli yaani ameweza mchezo, ngoja aweke heshima kati ya mashetani tuliyoyazoea na huyu Malaika mpya. Wapinzani wenyewe ni kelele tu hawana kipya zaidi ya kuyaacha majimbo waliyoyashindia kwa gharama za wananchi na kujiunga tena na wale wale...
  12. kiagata

    Historia ya BITCOIN: Uliza chochote nitajitahidi kukujibu

    No way to run, dawa ni kumkimbilia mwokozi not otherwise
  13. kiagata

    Historia ya BITCOIN: Uliza chochote nitajitahidi kukujibu

    Mmh, bado hapo kuna mchezo wa kumuingiza mtu mjini. Gharama za kutengeneza hiyo pesa nani alitoa?. Hebu weka hata picha ya hela hiyo.
  14. kiagata

    Balozi Mongela atoa onyo kwa vijana ashauri wapelekwe darasa la kutongoza

    Kutongoza ni kipaji, naona vipaji hivi kwasasa vinapotea na kasi hadi watongozwaji wanatambua hilo "Hongera kwetu", Old isi gold.
Back
Top Bottom