Mungu yupi huyo aliyetoa maagizo kimafumbo mkuu...??
Watu walioelewa maana kaamili ndo waligeuza na kuyaachia maandiko katika mfumo mgumu kwa manufaaa flani...
The codes inside signify something trending...
Matokeo ya huo mfumo wa kutoeleweka kwa wengi ndo matokeo ya wewe kuandika hapa JF na mimi kuandika hapa katika mawazi tofauti...
Huu ulimwengu umejaa codes nyingi sana na wengi tutakufa bila kujua maana kamili na hatujui effects za kufa bila kujua real meaning ya code zile...
Story zote za kwenye biblia ni story za kusadikika but zimejaaa 100% codes of reality with their meanings hidden..namanisha kuwa hizo story unazosikia mara nikamwona joka sijui kafanya nini...sio kwamba kuna joka kweli but kuna kitu kinajaribu kuelezewa kwa mfumo flani......only codes to reveal the truth...
Mnaokaa na kukesha kulaumu eti kwanini mungu aliweka maandishi katika mafumbo sio Mungu but early people who discovered the truth behind nature governing existance ndo waliamua kufanya hivo...
Ukikaa ukajua maana kamili ya maneno yale na jinsi ukweli unavyofanya kazi hutakaa kulaumu kuwa kwanini code zimetawala...
Naunga mkono kwa 100% juu ya uwepo wa codes katika maisha specifically human nature with it's surviving ability...bila hivyo mambo yasingekuwa hivi...
Early people had a real meaning to make so....kila nafsi ipate kushuhudia ukweli katika ile self conscious ability ya mtu husika bila kudanganywa....
The matrix reality is very conspicous kwa mwelevu but it is very ambiguos kwa asiyejua chochote...
Life is about surviving within the matrix of simulation.....
its about unlocking codes of reality....
We survive under layers of understanding.....
If the reality could be exposed to every one ,hopeful the universe could collapse ....
We are balanced because of Knowlege and Ignorance ....
The two keep human and other species at balance...
Sent using
Nokia 8 Plus