Recent content by Khlala

  1. Khlala

    Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

    Shule za bweni zipo aina nne 1. Vipaji maalum mf. Kilakala, ilboru n.k 2. Bweni ufundi mf. Moshi technical .nk 3. Bweni kitaifq mf. Moshi sekondari, 4. Bweni teule mf. Shule za jamii ya kifugaji kule monduli, ngorongoro na Longido ambapo wanafunzi wote wataingia bweni ili wasihame na wazazi wao...
  2. Khlala

    Je, prem number ya wanafunzi darasa la pili kwenye shule ya English Medium ambayo bado haijakamilisha usajili zina kubalika kisheria?

    Maswala ya prem waachie walimu wanajua namna ya kuandikisha wewe lipa ada kwenye shule mpya. Pia shule ya Zaman hawana uwezo wa kuzuia uhamisho hata kama wanakudai,
  3. Khlala

    Msaada kuhusu kuhamisha shule binafsi kwenda shule ya Serikali

    Uhamisho upo kisheria siyo unavyofikiria. Labda utumie njia za panya lakini hairuhusiwi ni kinyume cha taratibu
  4. Khlala

    Huu Mchango wa Uendeshaji wa Shule ya Longido Sekondari si ndio ada yenyewe au Serikali imefuta ada ipi?

    Mdau chukua fomu ya kabla ya elimu bure lingamisha na hiyo. Serikali imelipa ada sh. 70,000 tu nyingine utalipa. Nimekagua fomu za shule nyingi zina huo mchango anaosema mdau.
  5. Khlala

    Msaada kuhusu kuhamisha shule binafsi kwenda shule ya Serikali

    Hakuna uhamisho wa private kwenda government sekondari, ipo msingi tu,
  6. Khlala

    Naweza kubadili jina nililotumia miaka mingi?

    Kwenye cheti cha kuzaliwa cha mtoto kuna sehemu ya kujaz jina la mtoto, andika andika jina lake kama linavyosomeka shuleni, sehemu ya jina la baba andika majina yako kama yanavyosomeka kwenye vyeti vyako. Mfano Child's name: John Dowe Joseph Father's name: JUMA SHAABANI HUSSEIN Kwa maana hiyo...
  7. Khlala

    Naomba msaada wa solution za haya maswali wadau

    Mwamba achana na google paste hilo swali lako chatGPT uchati na AI Itakufundisha na jibu utapata link hii hapa https://chat.openai.com
  8. Khlala

    Naombeni msaada wenu wadau wa jukwaa la elimu kuhusu huyu kijana wetu (amepoteza matumaini )

    Kibali cha kukariri kinatolewa afisa elimu mkoa baada ya kupitia maombi ya mzazi kwa barua ikiwa na viambatisho kama vile vile taarifa ya daktari kuhusu ugonjwa. Hatua za kufuata ni barua ya mzazi ataandika kuomba kumkaririsha mwanaye kwa sababu.... barua itapitia kwa mkuu wa shule ambaye...
  9. Khlala

    Kumuhamisha mwanafunzi wa form one

    UTARATIBU ULIIOMBA NI WA KUMWAMISHA MTOTO LAKINI KWA KUWA BADO HAJAAZA SHULE UTARIBU NI KUMBADILISHIA SHULE NAMNA YA KUONBA KUBADILISHA SHULE Andika barua kwa katibu tawala wa mkoa alikopangiwa mwanafunzi ukimtaarifu kwamba unataka kumbadilishia shule mwanao kwenda mkoa mwingine kwa sababu...
  10. Khlala

    Hatua gani naweza kumchukulia mpiga picha aliyesambaza video mtandaoni bila ridhaa ya aliyempa kazi??

    Kulikua na terms za kutengeneza kichekesho? Yeye kazi alipewa kurekod na kutengeza cd ya sherehe, alitakiwa afanye editing kwa kuondoa baadhi ya vitu ambavyo havina umuhimu. Lakin yeye akaamua kutengeneza kichekesho na nadhani alitaka kujitengenezea popularity kupitia clip hiyo. Hakuangalia...
  11. Khlala

    Hatua gani naweza kumchukulia mpiga picha aliyesambaza video mtandaoni bila ridhaa ya aliyempa kazi??

    Wasalaam Naombeni msaada wa kisheria kwa namna gani naweza kumchukulia hatua cameran ambaye amepatiwa kazi ya kupiga picha na video kwenye tukio la harusi/sendoff lakini akakiuka maadili kwa kusambaza mitandaoni baadhi ya matukio yaliojiri ambayo hayakuwa ya kawaida (unintentional scenario)...
  12. Khlala

    Watendaji na walimu wakuu wanavyoenda kuteseka na fedha za COVID‐19 za IMF

    Wizi upo wapi hapo, huo ni mchanganuo tu ili hela ibalancr. Matumizi halisi yanaweza kuwa chini ya hapo au juu kulingana na hali halisi site na bei halisi ya vifaa
  13. Khlala

    Nimetumiwa ujumbe wa kuiwekea bima simu yangu

    Kampuni za bima zinapata faida pale ambapo janga halitatokea na watatumia gharama yoyote kuverify claim kama ni gunuine. Hiyo verification inatumia muda na pesa hivyo unatakiwa kuwa mvumilivu ili wadhibitishe kama kweli simu imepotea au kuharibika kweli ndo walipe. Wasipofanya hivyo kila siku...
  14. Khlala

    Kubadilisha grades

    Utaratibu upo unaenda baraza la mitihani wanafanya equivalence Pia walitangaza utaratibu wa kufanya online waweza Ingia www.necta.go.tz nenda kwenye e-services Au wasiliana nao kwa esnecta@necta.go.tz Wakupe maelekezo.
  15. Khlala

    Nawezaje kutuma meseji kwa kutumia excel?

    Kama sijakuelewa vibaya unataka kutuma bulk sms kwenda kwa watu wengi kwa kutumia ms excell. Kama ni hivyo zipo njia nyingi lakini rahisi kwangu fanya hivi. Fungua ms excel. Column ya kwanza andika namba za simu. Column ya pili andika ujumbe unaotaka. Hakikikisha format cell kuwa text. Then...
Back
Top Bottom