Sijui kwa uelewa mdogo, hii ilikuwa TEST au kwa kiswahili ni JARIBIO tena la kwanza hopefully aliyehusika alilenga kupima uelewa wa wanafunzi wake kwa hilo somo ili kupanga wapi pa kuanzia kumjenga au kuwajenga hao wanafunzi na bahati nzuri huyo mwanafunzi ktk mwaka wa pili bado alidhihirika...
Ndugu faizaFoxy kama una kimo kifupi yawezekana inaashiria akili zako zilivyo, wanajeshi wachukue mabasi wapeleke wapi??? kama njia yote haitatakatishwa kwa magari mengine kugongwa tu. Wenye mabasi kama wanaona wanajeshi ni madereva basi wawaajiri
Napoleone uinzi wako unataka vizee sasa au unataka pakupata mafao au pakufia, katafute shamba ulime maana unaonekana unanguvu sana kutosha kubeba vizee
Mbona walipigwa wenye nchi yao hukohuko na majirani akina Mwangosi na Ulimboka hamkusema itakuwa dereva wa Mwigulu?? Jamaa wamekosea na lazima ilikuwa usiku jamaa akaamuru ashambuliwe asijue ataua dereva wake
Huyo Mgimwa nu dada vakhe valye lulyo, mnafanya wenzenu vangaya siida kila siku mle nyie tu achieni na wenzenu mwisho na kijukuu cha mgimwa kitagombea Mgimwa wa sasa akifa, eeehhh nyee mwidesa kabisa
Ujanja ukiwa na skafu yako na majidai kibao kumbe nyumbani ni houseman, kwisha habari yako tena anakuambia nikuone nje utanitambua!!! hahahahahahaaaaaa!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.