tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,793
- 18,217
- Thread starter
- #21
Hii dukuduku yako nadhani inahusu mfumo mzima wa elimu yetu...huwa tunalishwa mambo mengi sana ambayo hayana application katika mazingira tunayoishi. Ndio maaana Rwanda wao wameamua kufumua mfumo wao wa elimu na kuufanya uendane na mazingira yao.We measure Cognitive, Affective, and Psychomotor Domain. Je, Magwiji wa MaProf. Wanaowakalilisha nadharia vijana wetu bila uhalisia kuwaonyesha wanawasaidia nini??????!!!!!!