Wakala wa balabala nchini wetekele ubomoaji wa nyumba zilizojengwa katika hifadhi ya barabara ya mita 121.5, utekelezaji huo umefanyika leo maeneo ya kimara suka karibu na kanisa la Roman Catholic, licha ya kuwepo kwa.zuio la mahakama la kuto kubomoa nyumba hizo mpaka pale mahakama itakapotoa...
Kifupi hii bomoa bomoa inahusu mladi wa uboreshaji wa balabala ya morogoro ambao unahusisha upanuzi wa barabara hiyo kutoka kimara mpaka kiluvya kwa mapana ya mita 121.5 kila upande, na kwa mujibu wa wakala wa barabara yani Tanroads hakuna fidia yoyote ya ardhi au maendelezo ya ardhi.... Mengi...
Kuna miti mizuri ya kivuri inaitwa miaradali inakua haraka sana, jarubu kutembelea maeneo ya vitaru vya maua na miti ulizia mti huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii bomoa bomoa haiko rasmi nilikuwepo sehemu ya tukio na nikafanikiwa kuongea na baadhi ya wahusiki na kwa majibu yao leo walikua wanatoa salam tu kwa nyumba zote zenye x na ni kama tangazo kua kuanzia leo siku yoyote watakuja kubomoa, na kwa nyumba amvazo tayari watu walishabomoa nyumba zao na...
Sagaci nawafahamu sana, niliwahi fanya nao kazi kipindi cha nyuma mwaka 2012 nakumbuka kipindi hiko ndio walikua wanaingia Tanzania walikua wanalipa vibaya sana nakumbuka ilikua kama elfu 10 tu kwa siku hiyo ndio mshahara na kulikua hakuna cha ziada, nikaachana nao ila nadhani kwa sasa watakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.