Yaan unatukuza ukanda alaf kisha unajiita mjanja, hv huu ni ujanja au uganga njaa, da ama kwel njaa mbaya, hv umesahau kuwa ccm ina majimbo ya yakutosha huko kaskazin, na pia unasahau kuwa huko unapopaita kwa wajanja chadema ina majimbo na madiwan wa kutosha., ushaur wng hata kama tunawai buku 7...