Recent content by Khalid Suleiman

  1. Khalid Suleiman

    Ponda agoma kwenda mahakamani

    Hivi Ukitakiwa Ukatoe Ushaidi Wako Huo Mahakamani, Uko Tayari We Mgalatia!!?? We Wadhani Ugaidi Ni Suala Dogo Kihivyo?? La Kupayuka Tu Midomoni, Mitandaoni, Magazetini, Vijiweni, Makanisani, Vilabuni, Mabaa Na Maeneo Mnayokutana!! Sasa Ponda Kwa Mashitaka Gani Ambayo Yanayofanya Awekwe Rumande...
  2. Khalid Suleiman

    TV Imaan Hewani, Hongera

    Allahadulah!! Hawatafurahi Kwa Mafanikio Yenu Daima!! Kikubwa Ni Kupanga Na Kutekeleza Yetu Tu! Maneno Yenu Ya Shombo, Ndio Yaletayo Machafuko!! Chungeni Kauli Zenu!!!
  3. Khalid Suleiman

    UDA yaivua nguo serikali

    Tatizo Lililopo, Wamejiuzia Wakubwa Wa Nchi Hii!! So Akina Mwakyembe Na Wengine Woote! Wanaliogopa!! Wanajua Kitakachofuatia Baada Ya Kulivalia Njuga!! Ndio Maana Wameagiza Magari 300 Bila Ya Kulipia Kodi!! Wadhani Ni Huyo Mr Sena Pekee!! Yeye Msimamizi Tu!! Hata Kuna Kampuni 1 Ya Magari Ya...
  4. Khalid Suleiman

    Msaada juu ya utata wa kwenye picha hii ya JK na Zitto

    Ujinga Mtupu!! Huu Ndio Ule Wimbo Wa Afande Sele Siukumbuki Jina Lake!!Bali Baadhi Ya Maneno!! "KTK NCHI MASIKINI KAMA HII, UNAIMBA NGONO NA POMBE, HAUTUFAI MSIKITINI, HAITUFAI KANISANI " Ndio Hayo Badala Ya Kumtakia Tahaff Mgonjwa!!! Kama Leo La Mr President!! Badala Yake, Ni Kutafuta Uhalali...
  5. Khalid Suleiman

    Ridhiwani Jakaya Mrisho Kikwete, Mtetezi wa ajira kwa vijana

    Hiyo System Imeanza Huko Ktk. Nafasi Za Kisiasa!! Kuanzia Kuteuliwa Na Kuchaguliwa!! Mbona Riz, Halioni Hilo? Wtt, Wake, Familia, Uko, Marafiki Na Jamaa Wa Karibu Wa Kiongozi! Ndio Wanaopata Nafasi Karibia Zoote Za Kazi Na Kiuchumi!! Sote Tu Mashaidi Tunaona Hali Ilivyo Sasa!! Baada Ya Kuondoka...
  6. Khalid Suleiman

    Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

    Hakuna Faraja Ya Kiunafiki Hapo! Kwa Vile Yeye Ni Mbunge? Mbona Hautaki Kumpa Faraja Huyo Mama Na Wtt, Ambao Walikuwa Na Waendelea Kudhurumiwa Haki Zao, Kama Family!! Sasa Leo Tumpongeze Na Kumfariji Aliyetaka Na Aliyefanya Dhuruma? Eti Mwanamke Mwanaharakati!! Wakushukuriwa Ni Mungu, Kwa...
  7. Khalid Suleiman

    Sheikh mkuu mkoa wa Dar aonya maneno ya Lukuvi kutafsiriwa vibaya

    Kwa Matendo Ya Bakwata, Ndio Chanzo Kikubwa Cha Mizozo Na Misuguano Na Taasisi Nyingine!! Haiko Pale Ilipo Kwa Maslahi Ya Waumini Wa Kiislam Wa Tanzania!! Hivi Mtu Kama Huyo, Aitwae Sheikh! Tenaa Wa Mkoa Wa Dsm!! Kutoa Matamshi Yenye Ukakasi Kwa Kiasi Kikubwa!! Sijui Na Sina Hakika Na Hilo...
  8. Khalid Suleiman

    Lipumba awaombe radhi Wajumbe wa Katiba na Watanzania kwa ujumla kwa kuwafananisha na Interahamwe

    Hivi Hilo Ndilo Lakuona Baya Sanaa! Na Lapaswa Kuombwa Radhi Kwa Watanzania Woote!! Je, Ni Mangapi Yamesemwa (Kutamkwa) Kufanywa (Kutendwa) Na Viongozi Hao Hao? Je, Hayapaswi Kuombwa Radhi Kwa Watanzania!!? Mf.Juzi Tu Waziri Mmoja Mwandamizi Wa Tanzania, Alitamka Tenaa Bungeni Hapo Hapo!! Kuwa...
  9. Khalid Suleiman

    Loh sijaamini taulo la ivo mapunda linalinda Goli lisifungwe mpaka walipofungwa na Yanga

    Eeeeh!! Ktk Ulimwengu Huu Wa Sayansi Na Teknolojia Kiasi Kikubwa Sanaa!! Bado Mambo Yetu Ya Soka Na Baadhi Ya Kijamii! Twayaendesha Ktk Imani Za Nguvu Za Giza Kiasi Hicho??? Sasa Taulo Limekaa Gorilini Tu Basi Ndio Lazuia Kuingia Mabao (Magori)? Mbona Zile Sehemu Ambazo Zasemakana Ndio Vinara Wa...
  10. Khalid Suleiman

    Lema kweli hana nidhamu

    Na Yule Mchungaji Mtikila Naye Tumwite Nani Mkuu? Maana Hata Naye Alikuwa Akipiga Kelele Akipinga, Aina Uwasilishaji!!
  11. Khalid Suleiman

    Siri ya Vita ya Warioba na Professor Shivji Hii Hapa!!

    Ndio Maana! Wazanzibar Kwa Kujua Na Kwa Kutambua Ujinga Wetu!! Wanadai Nchi Ya Iwe Na Mamlaka Kamili Kila Uchao!! Sio Sisi Ambao Tukalia Ukweli Na Kupandikiza Ujinga Na Woga Tu Kwa Watanganyika!!
  12. Khalid Suleiman

    Siri ya Vita ya Warioba na Professor Shivji Hii Hapa!!

    Mbona Haingii Akilini Hii Thread! Ya Kusadikika? Mwacheni Mtanganyika Halisi, Anayejitambua!! Sio Kila Uchao Kumchafua Tu!! Watanganyika Hatudanganyiki Tena!!
  13. Khalid Suleiman

    Laana kuu Ubungo mataa!

    Hasara Kubwa Sanaa! Ila Kama Usemavyo!! Hakuna Takwimu!! Hivyo Hatuioni!! Na Wao Wanapita Vingi'ora! Sasa Watajuaje??
  14. Khalid Suleiman

    Utabiri wangu iwapo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika

    Tehe! Tehe! Tehe! Tehe!! Utabiri Wako Eeee!! Mi Nadhani Wakopi Na Kupest! Maneno Ya Nyerere Tu Hapo!! Hakuna Jipya!!
Back
Top Bottom