Recent content by kevylameck

  1. kevylameck

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tunamuogopa Makonda ambaye tunayedhani hana uelewa?

    Sun Tzu ni mwandishi wa sanaa ya vita na mikakati ya kijeshi ninayempenda na anayesifika kwa falsafa na mawazo yaliyoathiri majeshi mengi ya magharibi na mashariki ya bara la Asia. Miongoni mwa nukuu zake nizipendazo ni hizi mbili. Moja, Tzu anasema ikiwa unamjua adui na unajijua mwenyewe...
  2. kevylameck

    JamiiForums Tanzania CCM imtumie Chalamila kufanikiwa kwa Samia

    Na Kevin Lameck Tanzania itaingia katika chaguzi mbili muhimu kwa mustakabali wa maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Ni uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024 na uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Kwa mara ya kwanza tutamshuhudia Samia Suluhu Hassan akipambana kwenye majukwaa ya kampeni ili...
  3. kevylameck

    JamiiForums Tanzania Mobhare Matinyi ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari–MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali

    Na Kevin Lameck Kama ipo sehemu ambayo Rais Samia Suluhu Hassan amepatia katika teuzi zake za karibuni, bhasi miongoni mwake ni uteuzi wa sasa wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Gerson Msigwa. Bwana Mobhare Matinyi, Mkuu wa wilaya ya Temeke ameteuliwa kuwa Msemaji mkuu wa serikali na...
  4. kevylameck

    JamiiForums Tanzania Mobhare Matinyi - Mpiganaji mpya wa Rais Samia kwenye ulingo wa habari na mawasiliano

    Na Kevin Lameck Kama ipo sehemu ambayo Rais Samia Suluhu Hassan amepatia katika teuzi zake za karibuni, bhasi miongoni mwake ni uteuzi wa sasa wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Gerson Msigwa. Bwana Mobhare Matinyi, Mkuu wa wilaya ya Temeke ameteuliwa kuwa Msemaji mkuu wa serikali na...
  5. kevylameck

    JamiiForums Tanzania Chalamila asema ataka Dar iwe ya mfano katika urejeleshaji taka

    ✍🏽 Kevin Lameck. Kulingana na ripoti Ya U.S Recycling Economic Information (REI), San Francisco - Marekani ni jiji la kijani kibichi hasa, linatajwa kama kinara kwa urejeshaji wa taka (recycling), kwa zaidi ya asilimia 80 ya taka zake. Wanafanyaje? Kwa kushikamana na mipango madhubuti ya...
  6. kevylameck

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na ndoto za mabinti wengi

    Na Kevin Lameck Miongoni mwa yasiyopimika kwenye mizani ya namna yeyote ile ni athari kubwa ya SAMIA SULUHU HASSAN kwa wasichana wadogo na mabinti. Dkt. Samia Suluhu si tu ni Rais wa Tanzania lakini pia ni Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa serikali na Mwenyekiti wa Chama Tawala - CCM. Katikati...
  7. kevylameck

    JamiiForums Tanzania Kuelewa kunavyokuza kueleweka kwa Kenani Kihongosi

    Katibu Mkuu wa UVCCM, Kenani Kihongosi. Na Kevin Lameck Tuna masikio mawili na mdomo mmoja, kwa sababu tunapaswa kusikiliza zaidi na kuzungumza kidogo. Huu ni msemo maarufu sana kwa waswahili na ambao unahusishwa na mwanahistoria Plutarch na mwanafalsafa Zeno wa Citium. Ujumbe wa Papa...
  8. kevylameck

    JamiiForums Tanzania SIKU YA VIJANA: Rais Samia na Elimu na Ujuzi kwa vijana

    Na Kevin Lameck Dunia inapoadhimisha siku ya Vijana hii leo, yapo baadhi ya mambo yaliyofanywa na kutekelezwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye kuwakwamua dhidi ya changamoto mbalimbali zinazowakwaza Vijana. Changamoto kubwa inayotajwa nchini Tanzania miongoni mwa Vijana wake...
  9. kevylameck

    JamiiForums Tanzania SIKU YA VIJANA 2022: Rais Samia na suala la Ajira kwa Vijana

    Na Kevin Lameck Siku ya Kimataifa ya Vijana inaadhimishwa leo na kila mwaka tarehe 12 Agosti, ikileta maswala ya vijana kwa jamii ya kimataifa na kusherehekea uwezo wa vijana kama washirika katika jamii ya leo. Vijana ni kundi muhimu katika taifa lolote lile duniani. Hii ni kutokana na ukweli...
  10. kevylameck

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Sensa na Vifo Vinavyozuilika Kwenye Jamii

    Na Kevin Lameck Nchi Wanachama wa Umoja wa Mataifa mwaka 2015 zilipitisha Ajenda ya 2030 ya Maendeleo Endelevu na Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs). Lengo la tatu la ajenda hiyo lililenga afya bora na ustawi. Tangu wakati huo, WHO imekuwa ikisaidia mipango ya nchi na kufuatilia maendeleo...
  11. kevylameck

    JamiiForums Tanzania AUGUST ni Mwezi wa SENSA! Mwezi wa kutambulika

    Baadae mwezi huu,Jumanne ya August 23 kutafanyika tukio kubwa, la kihistoria na lililobeba mustakabali wa maendeleo yetu. Baada ya miaka 10 kupita,Sensa ya watu na makazi ya mwaka huu itakuwa ya sita kufanyika nchini baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Sensa nyingine kulingana na...
  12. kevylameck

    JamiiForums Tanzania Sensa, RITA na NIDA; ndugu wasiofanana

    😀😀
  13. kevylameck

    JamiiForums Tanzania Sensa, RITA na NIDA; ndugu wasiofanana

    Na Kevin Lameck. Hisia mseto zimekuwapo kuhusu Zoezi la Sensa ya watu na makazi litakalofanyika jumanne ya August 23/2022. Takribani mwezi mmoja baadae kutokea leo. Watanzania Wengine wanaona ni upotevu tu wa fedha, wengine wakiamini Sensa haina maana katika maendeleo ya kijamii. Baadhi ya...
  14. kevylameck

    JamiiForums Tanzania Kenan Kihongosi: Sensa itaharakisha maendeleo kwa vijana

    "Kuwa na takwimu sahihi kuhusiana na watu ambazo zimechambuliwa na kuainishwa kwa makundi, ukubwa na mtawanyiko wa watu na makazi ni muhimu katika kupanga na kutekeleza mipango ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Niwaombe kujitokeza kuhesabiwa ifikapo jumanne ya August 23/2022"-Katibu Mkuu wa...
  15. kevylameck

    JamiiForums Tanzania Usinipunje, Nisikupunje, Tusipunjane- Kenani Kihongosi

    Muhimu sana maana hii ni ishu ya kitaifa
Back
Top Bottom