Recent content by kevoo22

  1. kevoo22

    Tido Mhando na Ubinafsishaji wa TBC kwa StarTimes

    Mtoa habari anaonekana ana negative thoughts towards Tido,, but swali moja najiuliza, why Tido saivi wakati TBC ishabadilishwa wakurugenzi mara mbili toka uongozi wa JK hadi saiv wa JPM??? Embu ngoja tuendelee kuiskilizia hii ishu
  2. kevoo22

    DAR: Polisi yakusanya zaidi ya milioni 600 ndani ya siku 8

    Ingekua poa sana kama wangejivunia kutoa elimu kwa watumiaji wa barabara na watupe taarifa kuwa makosa ya barabarani yamepungua kwa asilimia kadhaa katika kipindi fulani
  3. kevoo22

    Real Estate business?

    Sio lazima uwe na 4 bil kuanza bhana,, hapa ndo wengi tunakatishiana tamaa na kuona mambo hayawezekani,,, anza na kdg kwanza, you can even start as a real estate agent (dalali) lkn ukawa serious,, take udalali kwenye next level, jitangaze vzr, atleast kuwa na office yenye jina linalotambulika...
  4. kevoo22

    Rais Magufuli ndiye Rais anayeongea lugha nyingi duniani, 83 za ndani na 3 za kimataifa

    Hamna raisi aliyekuwa anaongea kiingereza kizur kama mkapa,,, "uncle" hatii maguu hata kwa JK!!
  5. kevoo22

    Huu ndio utajiri mkubwa utakaoupata kama utaamua kufanya biashara hii

    Tatizo la sisi vijana wa kitanzania unataka sijui hadi mtu akuoneshe maburungutu ya pesa ndo uamini,,, ubilionea hauji kirahisi hivyo,,, ni process inayochukua muda na inakulazimu kuwa mvumilivu sana kwa changamoto utakazopitia,,, mtu kama Jack Ma(founder of Alibaba) alianza kuifanyia kazi hiyo...
  6. kevoo22

    Nani aligharamia ukarabati wa kifahari wa ofisi ya Mkuu wa mkoa DSM?

    Complains without statistics (accurate information)... Ndo tabia ya watanzania wengi,,, swali la msingi "unajua zimetumika sh ngapi kufanya huo ukarabati?" ulitaka ofisi iweje labda?
  7. kevoo22

    Business ideas (Bure)

    Na hapo ndipo wengi wetu tunakosea, tunawaza kwanza CAPITAL instead of an IDEA,, for me IDEA ndo first then CAPITAL baadae!
  8. kevoo22

    Nitoeni ushamba: Kwanini simu za iphone zinauzwa bei kubwa sana...??

    Huawei Mate S ina fingerprint (sensor) na sio 3D touch technology,,, ni kitu ambacho tena hao hao Huawei wameiga from apple.
  9. kevoo22

    Jipu Kuu

    Very true,, sioni maana ya hii kitu kabisa... "MBIO ZA MWENGE"?? Mnakimbia mnaenda wap sasa, eti kuzindua miradi ya maendeleo? Kuna baadhi ya miradi I blv ina gharama ndogo kuliko cost zinazotumika kukimbiza huo mwenge all over the country!! Embu tuache kupoteza muda na fedha wa'TZ... Hopeful...
  10. kevoo22

    Nitoeni ushamba: Kwanini simu za iphone zinauzwa bei kubwa sana...??

    Japokuwa iphone zinaonekana kuwa na bei kubwa lakini bado zinauzika vizuri sokoni,,, nadhani swali zuri lilikuwa ni "kwa nn simu za android zinauzwa bei rahisi sokoni" Nadhani ni kwa sababu watengenezaji wengi wanashea software version inayofanana na kuzifanya simu zao zote kuonekana zinafanana...
  11. kevoo22

    Mtazamo: Madada hasa wasomi wanaongoza kwa kutojua mapenzi

    Wale wa mitaani mtaji wao ni "K" tu,, kwa hiyo lazima ajishughulishe vizuri akipata muwekezaji!!
  12. kevoo22

    Natafuta rafiki aliyesoma au anayesoma journalism

    Natafuta rafiki (jinsia yoyote) anayesoma au aliyesoma maswala ya journalism especially utangazaji wa TV/Redio. Kwa ambaye atakuwa tayari kwa hilo, please send me a message!
  13. kevoo22

    The English of the Tanzanian President Magufuli

    Mleta mada anapoint sana,, hata mm ambae nadokoa maneno ya kingereza nimeliona hilo kwa Prezidaa wetu,,, plz wahusika wa ik**u wadeal na hili swala,,, for the record, the 3rd president of Tz, B.W.Mkapa was the best,,, hata alipokuwa akitoa speech au akifanyiwa interviews na international press...
Back
Top Bottom