UKWELI HUU HAPA
Hakuna mwanamke asiyeweza kumtimizia mwanaume lile hitaji halisi la kingono, wala hakuna mwanamke anayeweza kumtimizia mwanaume hilo hitaji zaidi ya mwingine, haijalishi maumbile, rangi, uzuri wa umbo, uzuri wa sura. Wote wako sawa.
Hii ndio maana wanawake kwa kujua au bila...
Hata wahaya. Msichojua ni Kuwait wahaya walioosoma wamesoma sana ilana vila wake wong ilana tu Kwan Iowa wanamaker Manson mango na ni wajuaji. Lila kitty wanajua. Asiyewafahamu hawezi kuamini Kuwait sio Kelli kuwa wamesoma sana
Wenye tamaa tu ndo watakamatwa hapa. Katika watu wanaoonewa na kudhalilishwa na kudhalilika ni wanaume. Hebu jiulize mwanaume, ni kitu gani cha ziada unachopata kwa mwanamke eti tu kwa kuwa ana matiti yaliyosimama, ana matako makubwa au madogo, ni mweupe au mweusi ana ngozi nyororo au ngumu ...
1. Utaelewa kweli hizi tu kama utahaliwa kutafakari kwa kina ukiwa na mtuzamo neutral ktk kutafakari.
2. Ukiujua ukweli utakuwa huru
3. Ukweli pekee haumuweki huru mtu isipokuwa ule tu alioujua
4. Shetani hana kazi nyingine hapa duniani isipokuwa kuudanganya ulimwengu maana yeye ni baba wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.