agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,412
HajhaaaaSipatii picha dawa zikiisha nguvu...watu watakuwa wanamwagika tuu kama maji afu ndo ushakuwa ngongoti...chaa!!!!
HajhaaaaSipatii picha dawa zikiisha nguvu...watu watakuwa wanamwagika tuu kama maji afu ndo ushakuwa ngongoti...chaa!!!!
Ila wanawake warefu tunachangamoto jomoniii...afu utakuta kuna kibushuti mmoja anakung'ang'aniaaaa kama luba..kifupiiii kama dawa ya mbu ya rungu...😑basi awe mpole uuuwiii wana gubu kama nyangumiMkuu naomba unitafutie ya kupunguza urefu..maana nakosa mume
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Mkuu naomba unitafutie ya kupunguza urefu..maana nakosa mume
Mungu anakuonaIla wanawake warefu tunachangamoto jomoniii...afu utakuta kuna kibushuti mmoja anakung'ang'aniaaaa kama luba..kifupiiii kama dawa ya mbu ya rungu...😑basi awe mpole uuuwiii wana gubu kama nyangumi
Ooh Mimi mfupi kama luluKimo changu kama chako mpenzi.
Ananiona kweli ndio maana akanipa mnyamwezi mwenzangu..🤩tumeenda hewani sekunde,.Mungu
Mungu anakuona
Msitutenge basiiiiAnaniona kweli ndio maana akanipa mnyamwezi mwenzangu..🤩tumeenda hewani sekunde,.
Hapana..ntakua ka ashabokoTafuta dawa ya kuboost uwe kibonge. Ukiwa kibonge automatic unarudi chini.
Agata unanicheka
Mkuu naomba unitafutie ya kupunguza urefu..maana nakosa mume
Hahahaaa mbavu zanguu...Ila wanawake warefu tunachangamoto jomoniii...afu utakuta kuna kibushuti mmoja anakung'ang'aniaaaa kama luba..kifupiiii kama dawa ya mbu ya rungu...basi awe mpole uuuwiii wana gubu kama nyangumi
Una futi ngapi angani??
Fanya uwe chibonge 😂 😂 😂Agata unanicheka
Kila anaenipenda anaishia kifuani..hata kusimama nimsogelee naona aibu.