kuna dada namjua alisoma Sauti hiyo sociology akakosa kazi akenda soma masters ya public health bado yupo mtaani hana kazi, anataka hata kazi ya laki 5 lkn hajapata
chadema sio chama kibaya ila kubanwa kwenye awamu hii ndo kumekipiga mapigo mengi, unadhani km wasingebanwa silinde au lijualikali wangehama. Hofu uliyonayo ww ndo hao wabunge niliowataja walikuwa nayo, walijua kubaki cdm ni kuuweka ubunge wao rehani. kumbe ndo walikuwa wanajifumbukiza shimoni...
Hoja dhaifu sana hii, ACT hawana mtandao wa wanachama wala mashabiki zaidi ya press conference za Zitto kuwabeba. hao watu wa kuwapigia kura wanatoka wapi?
Nadhani ungesubiri lissu ashuke kwanza na campaign zianze ndo utapima hiki unachokiongea
mimi pia nilitegemea mijadala iwe ya hoja za msingi za kuisaidia serikali kuona maeneo mahususi ya kuzingatia kuokoa sekta kama za kilimo, utalii na Biashara ndondogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.