Bungeni Dodoma: Hotuba Ya Waziri Mpango, Akiwasilisha Bajeti kuu Ya Mwaka 2020/2021 kiasi cha Tsh.Trilioni 34.88

Pamoja na mapungufu ya huu utawala wangemtumia vzr waziri mpango tungeenda mbali. nimesikiliza hotuba yake ya budget kama Magufuli angemtumia vizuri angeipeleka mbali sana wizara ya fedha.

Wizara zingekuwa na mawaziri vichwa type ya jamaa tungekuwa mbali sana kiuchumi.

Tukiweka kando siasa jamaa ni mtu makini sana na anasitahili kuwa pale alipo.

Hofu yangu tu nahisi anaingiliwa. ila all in all nikichwa sana jamaa.
Malizia tu kwa kumpongeza aliemteua sio kesi kabisa
 
Leo Taifa kupitia vyombo vya habari limeshuhudia usomwaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ambapo shilingi trilioni 34.88 zimependekezwa.

Pamoja na mengine mengi, uimara na umakini wa Waziri wa fedha Dkt. Mpango ni wakipekee sana ambapo ametumia saa 3 na dakika 20 akiwa amesimama bila kunywa maji wala kukunja goti akitekeleza jukumu hilo.

Kongole sana kwake.

Chanzo: Channel10
 
Kusomwa kwa bajeti bungeni kumegeuka kuwa sehemu ya kufanya kampeni na kupigiana debe kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Hivi kutokana na mila na desturi ya mabunge mengine ya nchi zilizopo ktk jumuiya ya madola haya mambo pia hufanyika!?

BTW, Mheshimiwa Mpango amenifurahisha sana alipoligusia goli la Morrison siku Yanga ilipowazamisha wazee wa utopolo kutoka Msimbazi. Naona bunge zima lilizizima kwa hoihoi, shangwe, nderemo na vifijo.
 
Leo Taifa kupitia vyombo vya habari limeshuhudia usomwaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ambapo shilingi trilioni 34.88 zimependekezwa.

Pamoja na mengine mengi, uimara na umakini wa Waziri wa fedha Dkt. Mpango ni wakipekee sana ambapo ametumia saa 3 na dakika 20 akiwa amesimama bila kunywa maji wala kukunja goti akitekeleza jukumu hilo.

Kongole sana kwake.

Chanzo: Channel10
Wa Tanzania watu wa ajabu sana.
I thought Unge focus kwenye content ya hotuba ya Bajeti, eti uka concentrate kwa Waziri kusimama Muda Mrefu Bila kunywa Maji na kukunja goti.
Hii nchi tatizo lake kuu kabisa ni akili za Wananchi wake...
 
We unajielewa kweli? msamaha wa kodi utakuwa kwa watu wanaopata mshahara wa kima cha chini sio wote
Mzee yawezekana sijaelewa vizuri hiyo document lakini unapotoa matusi badala ya kunielekeza nisipoelewa wewe ndio unakuwa hujielewi
 
Binafsi nilitegemea nione mpango wa kuokoa sekta ya utalii na uchumi wa mwananchi mmoja mmoja.
Tena sasa hivo TRA wanapita wanakusnya kodi kwa lazima kwenye makampuni ya utalii. Hawa jamaa ni wapumbavu
 
Back
Top Bottom