Siku hizi kila mtu anataka kuwa developer, yaani any form of developer! kwanini unajisumbua?

mathsjery

JF-Expert Member
Sep 26, 2015
2,208
1,755
Haswa kwa wanaume, ila wanawake mnajielewa sana pongezi kwenu.

Basi siku za hivi karibuni kila mtu anataka kuwa developer, oh! si dhambi, lakini inagharimu muda, pesa na nguvu.

Mtu anashida flani inayohitaji developer basi anajifanya mjanja mjanja huku anataka solution bila kughalimia. Anachokifanya anaweza omba ushauri anywhere akikutana na watu wanamwambia maybe haitaji developer ati atumie CMS or web builder(hii ni kwa upande wa web development), hawezi pima uzito. Basi jamaa anaanza kukomaa huku hana misingi ya muhimu, basi yeye na youtube, yeye na google, mh! utafanya biashara saa ngapi?.

You don't know about security trending hata SEO, usability techniques e.t.c sasa tukija kwenye code ndo usiseme, kwanini ujisumbue na profession za watu na wakati wapo. Ona kuna CMS kibao, web builders na nini sijui, but bado watu wanafeli kusolve issue zao na wanaojitutumua bado solution zao hazina mvuto kwa wateja ndo kinachosababisha kukosa wateja.

Kama uko serious na kitu na haujui tafuta mtu anayejua akusaidie naam umlipe. Mimi naamini siku zote wapo wabongo wazuri tu kwenye hii profession kazi yako wewe ni kujua yupi anafaa yupi hafai cha msingi ni kufikia hatma yako kibiashara.

Mtu serious hapotezi muda.

Narudia tena hii profession inawatu special, na inasomewa na watu serious kabisa.

Vinginevyo unatania,

Unatakiwa ujue nini kinatakiwa hapa, nini hakitakiwi na kwanini.


Kama unatia shaka juu ya kiwango cha pesa ulichoambiwa wewe fanya comparson na yale ya mtandaoni kisha amua ununue au uajili developer, kibaya zaidi hata ukinunua huko bado kuna mambo yanahitaji developer utakumbana nayo.


kifupi namaanisha hivi, ukiwa na shida inayohitaji mjuzi usijifanye unajua tafuta mjuzi.
 
Kweli Kaka

Unaweza kuwa umenigusa Kwa upande mwinginee.

Je inakuwejee mfano Mimi
Nataka kuwa Web designer

Sasa nina profenal ktk Advance in Excell

Pamoja na Adobe.

Sasa Kwa nataka nizidi kujikita na fani ya Web.
 
Kweli Kaka

Unaweza kuwa umenigusa Kwa upande mwinginee.

Je inakuwejee mfano Mimi
Nataka kuwa Web designer

Sasa nina profenal ktk Advance in Excell

Pamoja na Adobe.

Sasa Kwa nataka nizidi kujikita na fani ya Web.
Unajua kuna tofauti kati ya kutaka kuwa someone to another window from another window.

Mfano; Una mgonjwa unataka apone sharti umpeleke kwa daktari kwa kuwa wewe si daktari.

Sasa jifanye daktari uku una Google ugonjwa na vipimo hauna wala hufahamu kuvitumia hata ukipata nakuambia mgonjwa akipona basi jua umebahatisha ila any time ugonjwa unaweza rudi.

Usitake kuwa daktari kwa kuwa una mgonjwa bali kasomee udaktari ili utibu magonjwa kwa wagonjwa.

Huo ni mfano.

Sasa ukitaka kuwa web designer basi kasomee kuna vyuo vinatoa short course online na offline pia.

Huwezi kuvamia Professional za watu through problems unazopitia kumbuka problem inatakiwa kuondoka haraka ili wewe upate faida
 
Unajua kuna tofauti kati ya kutaka kuwa someone to another window from another window.
Mfano; Una mgonjwa unataka apone sharti umpeleke kwa daktari kwa kuwa wewe si daktari.
Sasa jifanye daktari uku una Google ugonjwa na vipimo hauna wala hufahamu kuvitumia hata ukipata nakuambia mgonjwa akipona basi jua umebahatisha ila any time ugonjwa unaweza rudi.

Usitake kuwa daktari kwa kuwa una mgonjwa bali kasomee udaktari ili utibu magonjwa kwa wagonjwa.

Huo ni mfano.

Sasa ukitaka kuwa web designer basi kasomee kuna vyuo vinatoa short course online na offline pia.

Huwezi kuvamia Professional za watu through problems unazopitia kumbuka problem inatakiwa kuondoka haraka ili wewe upate faida
Asantee Sanaa Kaka

Kwakweli nlikuwa nampango huo wakuanzaa hiyo course online.

Asantee Kwa kuzidi kunifumbuaa
 
In short hata wengi wanaojiita developers kwa Tanzania uwezo wao bado mdogo sana, ukijumlisha na uswahili uswahili hakuna wanachofanya.

Ndio maana wengi wanazurula na vyeti kutafuta vijikazi vyenye mishahara ya laki 5 kwa mwezi.

Mimi nashauri kama mtu una kazi yako, suluhisho ni kutafuta mtu anatejua basi. Usiogope kugharamika as long as utapata unachohitaji

Siku hizi kuna freelancing sites kibao, unaweza kupata developer sehemu yoyote
 
Mimi nashauri kama mtu una kazi yako, suluhisho ni kutafuta mtu anatejua basi. Usiogope kugharamika as long as utapata unachohitaji
Basi hata tu ukamuuliza akupe mchanganuo wa bei hapa itafahamika kama kweli anajua au anakutapeli.

Kwamba why iwe laki nane na sio sita.
 
Sijui una maanisha nini ila nnapoona mtu anajifunza kitu ambacho hakijui ili kutatua matatizo ya yake au ya jamii!

Huwa nafarijika sana!!

Inshort watu kama hawa wanapatikana sana huko kwa wenzetu ambapo utakuta mtoto wa miaka 9 ana code C++ na java kuliko mtanzania aliye soma degree pale "jalalani" (hapa nime mnukuu Kabudi).

Binafsi sioni kama kuna tatizo mtu kujetengenezea site au app yake!

Mfano, kama mtu anahitaji website na gharama ya kumlipa developer ni 3mil na hana hiyo pesa ya kulipa ili atengenezewe website, je akae tu mpaka apate hiyo ela ndio atengenezewe site yake?

Je kwann kwa pesa ndogo aliyo nayo asitumie resources zinazo tolewa for free na makampuni ya google, amazon nk ili ajifunze na kutengeneza site yake?
 
.

kifupi namaanisha hivi, ukiwa na shida inayohitaji mjuzi usijifanye unajua tafuta mjuzi.

Elion Musk hajawahi kusoma IT wala CE chuoni na leo unajua alipo.

Mgunduzi wa Laravel pia hajawahi kusoma IT wala CS leave alone CE na leo tunatumia project yake dunia nzima.

Mgunduzi wa Vue sina hakika kama aliwahi kusoma CS chuoni lakin leo Vue ndio inatuweka mjini.

Mgunduzi wa facebook hana degree ya CS wala CE lakin leo FB yake ndio inatuweka hapa town!!

Mgunduzi wa upwork hajawahi kusoma IT chuoni lakin leo tuna upwork!

Tuje hapa bongo,

Mgunduzi wa NALA sina hakika kama aliwahi ana degree major ya CS lakin leo tunaona alipo!!

Yule mgunduzi wa POS (malipo ya luku) hana degree ya CS wala IT lakin leo tuna nunua luku bila shida..

Turudi pale china...

Jack Ma hana degree ya IT lakin leo tunatumia aliexpress bila shida!!

SWALI NI JE, HAWA WOOOTE WANGEKAA WANGOJE DEVELOPER NDIO WAANZE LEO WANGEKUA WAPI?

In my opinion kila kitu kinapatikana online, kama mtu anauwezo acha atefanye mwenyewe!

Kama hana time basi atafute mtu amlipe afanye!!

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Kama uko serious na kitu na haujui tafuta mtu anayejua akusaidie naam umlipe. Mimi naamini siku zote wapo wabongo wazuri tu kwenye hii profession kazi yako wewe ni kujua yupi anafaa yupi hafai cha msingi ni kufikia hatma yako kibiashara
Nadhani Umeona hapo juu.
Elion Musk hajawahi kusoma IT wala CE chuoni na leo unajua alipo.

Mgunduzi wa Laravel pia hajawahi kusoma IT wala CS leave alone CE na leo tunatumia project yake dunia nzima.

Mgunduzi wa Vue sina hakika kama aliwahi kusoma CS chuoni lakin leo Vue ndio inatuweka mjini.

Mgunduzi wa facebook hana degree ya CS wala CE lakin leo FB yake ndio inatuweka hapa town!!

Mgunduzi wa upwork hajawahi kusoma IT chuoni lakin leo tuna upwork!

Tuje hapa bongo,

Mgunduzi wa NALA sina hakika kama aliwahi ana degree major ya CS lakin leo tunaona alipo!!

Yule mgunduzi wa POS (malipo ya luku) hana degree ya CS wala IT lakin leo tuna nunua luku bila shida..

Turudi pale china...

Jack Ma hana degree ya IT lakin leo tunatumia aliexpress bila shida!!

SWALI NI JE, HAWA WOOOTE WANGEKAA WANGOJE DEVELOPER NDIO WAANZE LEO WANGEKUA WAPI?

In my opinion kila kitu kinapatikana online, kama mtu anauwezo acha atefanye mwenyewe!

Kama hana time basi atafute mtu amlipe afanye!!

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom