Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Mkapa hayupo wa kutangatanga na kutishia wakurugenzi wachakachue matokeo, Bashite yuko kwenye mawe baada ya wapiga kura kumtapika na sasa mpigania haki Tundu Lissu kawasili kwa mapokezi yenye ujumbe mzito: CCM BYE BYE